Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
- Thread starter
-
- #21
studio ni moja tuu ya azam tv.Yah nafahamu zbc 2 ndio Azam.
swali langu n ile studio iliyoonekana TBC ni studio ya azam/zbc 2.? Mana hata hy studio ya zbc 2 ipo hapo hapo Tabata kwenye ofisi za Azam.
Unajua studio za zbc 2 ziko wapi.?studio ni moja tuu ya azam tv.
unszungumzia kitu ambacho kipo zanzibar ila ni azam hao hao mkuu elewa hapo linapokuja swala la uchambuzi unakofanyika ni tabataUnajua studio za zbc 2 ziko wapi.?
Kabisa yanihata wafanyaje hawawezi kufikia ubora wa picha wa Dstv: Wakati niko bongo Nilishawahi kuunganisha ving'amuzi viwili kwenye TV moja na baada ya kufanya uwiano (comparison) yangu ya kifundi nikagundua Azam TV ana ubora wa picha wa kiwango cha 720p wakati Dstv ana ubora wa picha kwa kiwango cha 1080p muda sio mrefu ataingia 4K, kwa watu wanaopenda ubora wa picha na content nawashauri watumie DSTV, Azam kinachombeba ni hiyo ligi kuu ambayo nayo haina ubora... but honestly nikiwa bongo naifurahia sana DSTV i dont care about cost i do care the Quality of the content.
Kwani kuonesha huwa wanatozwa Bei gani na kwann DStv ajidai anapigwa mkwara kwani world cup Ni ya baba akeKama kichwa cha habari hapo juu ni siku chache tuu DSTV walitangaza kuwa wao ndio watahusika na kuonyesha mechi hizo na walitoa onyo kwa vyombo vingine kuonyesha bila idhini yao hii tulijua kabisa mkwara anapigwa azam media.
Azam sasa amekuja na plan B hii kutumia chanel ya taifa tena ya bure kuonyesha kombe la dunia ni kama kuamua mbwai iwe mbwai kila kitu wanafanya azam mpaka studio za wachambuzi ni za azam wao tbc ni kuonyesha tu baasiii.
Na ndio maana chanel ya TBC iliondolewa kwenye mfumo wa bure kwa baadhi ya visimbuzi vya dishi ila wengi wa antena TBC ilikuwepo tena mechi ilikuwa clear HD kabisa hawa hawawezi kuwa tbc tunayoijua sisi.. [emoji16][emoji16]
Sema nn Azam ni mkombozi wa wanyonge bahressa aishi sana akyamama 4 years bila kuangalia tbc hatimae leo nimeangalia TBC.
Hatutakihata wafanyaje hawawezi kufikia ubora wa picha wa Dstv: Wakati niko bongo Nilishawahi kuunganisha ving'amuzi viwili kwenye TV moja na baada ya kufanya uwiano (comparison) yangu ya kifundi nikagundua Azam TV ana ubora wa picha wa kiwango cha 720p wakati Dstv ana ubora wa picha kwa kiwango cha 1080p muda sio mrefu ataingia 4K, kwa watu wanaopenda ubora wa picha na content nawashauri watumie DSTV, Azam kinachombeba ni hiyo ligi kuu ambayo nayo haina ubora... but honestly nikiwa bongo naifurahia sana DSTV i dont care about cost i do care the Quality of the content.
unszungumzia kitu ambacho kipo zanzibar ila ni azam hao hao mkuu elewa hapo linapokuja swala la uchambuzi unakofanyika ni tabata
Kwa taarifa yako.! studio za zbc 2 ziko Tabata zilipo studio za azam. Chukua hiyo.unszungumzia kitu ambacho kipo zanzibar ila ni azam hao hao mkuu elewa hapo linapokuja swala la uchambuzi unakofanyika ni tabata
Kwa taarifa yako.! studio za zbc 2 ziko Tabata zilipo studio za azam. Chukua hiyo.
Hata hivyo, kama Kiswahili cha neno husika kipo na kinaeleweka kwa wengi, kwa nini utumie lugha nyingine?Unaonekana unachuki imekujaaa kuhusu lugha ya kiarabu.
Nilimpatia jiraniš¤£Huna TBC kwenu?
Ulipaswa pia kufahamu kuwa TV zote za Serikali huwa zinaruhusiwa na FIFA kurusha baadhi ya mechi za WC na si zote.Hii ipo siku zote.Azam hajafanya chochote hapoAzam pale wamecover tuu ila ndio penyewe ungecheki ground flow kisha angalia upande wa tv ndio hapo hapo wanapochambulia mechi za ligi kuu za zile za CAF zinazooneshwagwa ZBC 2
Dstv ana haki ya kurusha mechi zote 64,hao TBC wamepewa baadhi ya mechi kurusha kwakuwa ni TV ya Serikali kama zilivyo KBC na TV stations nyinginezo za Serikali za mataifa mengine.Kwani kuonesha huwa wanatozwa Bei gani na kwann DStv ajidai anapigwa mkwara kwani world cup Ni ya baba ake
Umeelezea vizuri sanaHakuna mahusiano hapo kwani kila nchi inaruhusiwa kuonesha baadhi ya mechi za kombe la Dunia kupitia television ya taifa, ispokuwa kwa baadhi ya mechi
Kwa kifupi ni kwamba kuanzia mwaka 2010,2014,2018 na miaka ya nyuma pia kombe la Dunia tumekuwa tukiangalia kupitia television ya taifa, tangu enzi za TVT
Ata mwaka 2018 Azam hakuonesha kombe la Dunia kutokana na Mambo ya haki miliki za DStv na bado wale wasiokuwa na DSTV waliangalia baadhi ya mechi TBC au television ya taifa ya Kenya/Uganda
Azam hana haja ya kuingilia mlango wa uwani kwani huo ni utaratibu wa miaka yote, na sio kwamba TBC itaonesha mechi zote, lahasha kuna baadhi ya game itakubidi tu utafute DStv ilipo
Na ata kama akifanya hivo bado sioni kama atapata faida yoyote ile na sioni kama atampa hasara yoyote ile DStv, Kwa sababu DStv utaangalia mechi zote na kama hiyo haitoshi utaangalia Kwa quality ya juu sana tofauti na ule uchafu wa TBC
Kwahiyo Kwa uelewa wangu Mie sidhani kama kuna uhusiano wowote ule Kati ya Azam na TBC kuonesha kombe la Dunia kwani miaka yote inakuwa hivo sasa Sijui kipi kimebadirika hadi uhisi kuwa Azam ana mkono wake
labda nikueleze kuwa tbc hawakuwa na mpango wa kuonyesha ila wamepata msukumo na sapoti kutoka azam sijui kama unanielewa.Dstv ana haki ya kurusha mechi zote 64,hao TBC wamepewa baadhi ya mechi kurusha kwakuwa ni TV ya Serikali kama zilivyo KBC na TV stations nyinginezo za Serikali za mataifa mengine.
Siyo kweli,TBC wamekuwa na huu utaratibu wa kurusha tangu zamani.Je 2018 na 2014 pia ni Azam ndiyo waliwasukuma kurusha?labda nikueleze kuwa tbc hawakuwa na mpango wa kuonyesha ila wamepata msukumo na sapoti kutoka azam sijui kama unanielewa.