TBC kwa ili la Kariakoo sioni sababu ya kuundwa sheria ya kuwatambua kama taasisi itakayo jitegemea

TBC kwa ili la Kariakoo sioni sababu ya kuundwa sheria ya kuwatambua kama taasisi itakayo jitegemea

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Serikali kupitia Bunge wapo katika mchakato wa kuifanya Shiriki la Utangazji Tbc Kuwa Taasisi itakayojitegemea na kufanya Biashara, Kwa Mujibu Sheria ya Sasa Tbc inatamburika kama Shirika Ła Seriali linatoa huduma, ambapo linategemea kupata Ruzuku Serikalini

Kwanini Nasema Tbc hawafai kwenda kufanya Biashara ni Kutokana Na Tukio la Kariakoo ambapo Tbc kama Chombo cha Taifa Wafanyakazi wake wanalipwa kwa Kodi za Wananchi lakini wameshindwa kuwa na Matangazo ya Moja kwa Moja (LIVE) au (MUBASHARA) angalau kwa Masaa Matano kwa Siku ili Kuwaonyesha Watanzania Nini Kinaendelea Kariakoo

Lakini Tbc waliona Siku ya Jana Jumapili Waliona Bora Kupeleka Matangazo ya Live kwa Mkuu wa Mkoa Wa Arusha Paul Makonda Kuliko Kuendelea kutupa Taarifa za tukio La Kariakoo.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Watanzania sio wanahitaji tu Taarifa Za uokoaji bali wanatakiwa kufaham ni Kinaendelea eneo Lote la kariakoo kwa Ujumla, kuna issue za Usalama, usafiri hali ikoje, aya mambo ayawezi kujuluika bila kuwa na combo cha habari na Tbc ndio kazi yenu hii, ajabu mnawaiga vijana wa mitandao ya kijamii ambao wengi wao ni wageni katika tasnia ya habari

Watanzania wanahitaji habari zaidi za Kariakoo, kama leo hii mnajiendesha kwa Ruzuku ya Serikali, Je Mkiundiwa Sheria Mfanye biashara kama Media Nyingine Nyie simtakuwa hamfiki ata kwenye tukio la Mtu mpaka mpokee malipo AIBU KWAKO RIOBA
 
Kilo mtanzania kwa sasa ana Tv na Tbc ni Channel ya Bure lakini kwa sasa Tunategemea kupata taarifa kwa vyanzo ambavyo sio sahihi, yani tuanategemea instagram ambayo waliamua mpaka kuanzisha michango
 
Watanzania wanahitaji habari zaidi za Kariakoo, kama leo hii mnajiendesha kwa Ruzuku ya Serikali, Je Mkiundiwa Sheria Mfanye biashara kama Media Nyingine Nyie simtakuwa hamfiki ata kwenye tukio la Mtu mpaka mpokee malipo AIBU KWAKO RIOBA
Matangazo yao ni Mchongopesa tu mwanzo mwisho Oya Tusepe
 
Kilo mtanzania kwa sasa ana Tv na Tbc ni Channel ya Bure lakini kwa sasa Tunategemea kupata taarifa kwa vyanzo ambavyo sio sahihi, yani tuanategemea instagram ambayo waliamua mpaka kuanzisha michango
Hama Channel mfano Mimi kuna Channel nilizihama kiasi kwamba sizitambui tena
 
Serikali kupitia Bunge wapo katika mchakato wa kuifanya Shiriki la Utangazji Tbc Kuwa Taasisi itakayojitegemea na kufanya Biashara, Kwa Mujibu Sheria ya Sasa Tbc inatamburika kama Shirika Ła Seriali linatoa huduma, ambapo linategemea kupata Ruzuku Serikalini

Kwanini Nasema Tbc hawafai kwenda kufanya Biashara ni Kutokana Na Tukio la Kariakoo ambapo Tbc kama Chombo cha Taifa Wafanyakazi wake wanalipwa kwa Kodi za Wananchi lakini wameshindwa kuwa na Matangazo ya Moja kwa Moja (LIVE) au (MUBASHARA) angalau kwa Masaa Matano kwa Siku ili Kuwaonyesha Watanzania Nini Kinaendelea Kariakoo

Lakini Tbc waliona Siku ya Jana Jumapili Waliona Bora Kupeleka Matangazo ya Live kwa Mkuu wa Mkoa Wa Arusha Paul Makonda Kuliko Kuendelea kutupa Taarifa za tukio La Kariakoo.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Watanzania sio wanahitaji tu Taarifa Za uokoaji bali wanatakiwa kufaham ni Kinaendelea eneo Lote la kariakoo kwa Ujumla, kuna issue za Usalama, usafiri hali ikoje, aya mambo ayawezi kujuluika bila kuwa na combo cha habari na Tbc ndio kazi yenu hii, ajabu mnawaiga vijana wa mitandao ya kijamii ambao wengi wao ni wageni katika tasnia ya habari

Watanzania wanahitaji habari zaidi za Kariakoo, kama leo hii mnajiendesha kwa Ruzuku ya Serikali, Je Mkiundiwa Sheria Mfanye biashara kama Media Nyingine Nyie simtakuwa hamfiki ata kwenye tukio la Mtu mpaka mpokee malipo AIBU KWAKO RIOBA
Hili tukio la makonda la jana sidhani kama ndo linapita, lina sababu nyuma yake. Huenda jamaa ilikuwa ajisafishe kabla ya kukwaa cheo kikubwa zaidi. subiri tuone ila sidhani kama hivi hivi angefanya hiyo press conference na yale yaliyokuwa yakiendelea kariakoo.
 
Tbc wanajukumua la kuwa Live kwa Muda Mrefu sana Kariakoo, watanzania wanatakiwa kupata taarifa bila kutumia gharama za internet na tbc ndio jukumu lao kwa sababu Wafanyakazi wake wanalipwa kwa kodi zetu
 
Back
Top Bottom