TBC, mnaajiri mambumbumbu?

TBC, mnaajiri mambumbumbu?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
How hiyo meli itavuka ziwa moja kwenda jingine tena maziwa yenye sifa tofauti
 
Ulijiridhisha kwa upande wa pili wa aliotaja mtangazaji kuwa walisema zitaenda hizo nchi?

Inawezekana ana report kilichosemwa tu ambapo hapo anakuwa si mbumbumbu ikizingatiwa kataja kabisa nani aliesema hizo habari.
Atakuwa mbumbumbu kama huyo alietajwa hakusema hayo maneno.

Ila baada ya yote haibadilishi ukweli kuwa TBC ni ovyo kabisa.
 
Ulijiridhisha kwa upande wa pili wa aliotaja mtangazaji kuwa walisema zitaenda hizo nchi?

Inawezekana ana report kilichosemwa tu ambapo hapo anakuwa si mbumbumbu ikizingatiwa kataja kabisa nani aliesema hizo habari.
Atakuwa mbumbumbu kama huyo alietajwa hakusema hayo maneno.

Ila baada ya yote haibadilishi ukweli kuwa TBC ni ovyo kabisa.
Mkuu usipokuwa na akili za kwako mwenyewe usilaumu mapungufu yako kwa wengine.
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Advanced technogy inahusu. Hii meli inapaa angani
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.

Meli itafika Sudan Kusini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Hiyo ndo hali halisi ya watumishi wa umma walivyo! Hili udumu katika ajira serikalini lazima huwe mchawi uroge wenye akili wakimbie ubakie wewe! Ofisi nyingi za serikali watumishi wake ni mbumbumbu!
 
South Sudan, Zambia, Malawi na Burundi itafungwa matairi au ona uwezo wa kupata angani ambao manufacturer hawajatueleza?
Tumshukuru mtengenezaji kwa kuunda meli yenye uwezo wa kupita kokote na kufika popote!
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Hiyo meli ni ya kisasa duniani ni ya aina yake kwani inao uwezo wa kupaa angani.
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Nimecheka.mpaka nimeshindwa kuandika
 
Back
Top Bottom