TBC, mnaajiri mambumbumbu?

TBC, mnaajiri mambumbumbu?

TBC Shida Sana Sana, Huwezi Hata Kufumba Macho
 
Mijamaa hapo tiibisii haitaki kushughulisha skili.
Hakika; maana hata kama alikuwa ananukuu taarifa iliyokuwa imetolewa na mamlaka ya meli husika, alipaswa kugundua hitilafu hiyo na kupata ufafanuzi kutoka kwa wahusika; ni moja ya majukumu yake ya msingi, ili awasiliane taarifa sahihi kwa umma; uko wapi hapo Ukweli na Uhakika?
Angeletewa taarifa inayosema kwamba Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Malawi ingeisoma hivyohivyo hewani?
Mkurugenzi wa TBC Dr. Ryoba, baadhi ya watumishi hapo wanakuangusha!
 
Hakika; maana hata kama alikuwa ananukuu taarifa iliyokuwa imetolewa na mamlaka ya meli husika, alipaswa kugundua hitilafu hiyo na kupata ufafanuzi kutoka kwa wahusika; ni moja ya majukumu yake ya msingi, ili awasiliane taarifa sahihi kwa umma; uko wapi hapo Ukweli na Uhakika?
Angeletewa taarifa inayosema kwamba Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Malawi ingeisoma hivyohivyo hewani?
Mkurugenzi wa TBC Dr. Ryoba, baadhi ya watumishi hapo wanakuangusha!
Pengine aliyekuwa akitangaza ni Dr Ryoba mwenyewe!!!!!
 
Yani jamaa mpumbavu mno sasa hata kama Mkurugenzi wa MSCL alisema kwa akili ya kawaida tu hiyo meli South Sudan inafikaje? Achilia mbali tu Malawi kuna vitu vingine kujiabisha tu.

Labda ni Amphibious vehicle na hatujui.
 
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.

Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Mtangazaji alikuwa anatania jamani.
 
"Waisha vyeti vyako kuna mchongo"
matokeo yake ndo hayo
huyu ni othman kilaza
 
Haya mambo ya TBC malalamiko yote leteni kwa huyu mwamba
Nyafwili
😂😂😂😂
TBC, inahitaji mapinduzi, kuazia ngazi za uongozi mpaka wakipa chai...

Yawezekana baadhi ya taarifa, zinatangazwa na WAPIGA DEKI wakishirikiana na WAPIKA CHAI 😁😁.
 
TBC, inahitaji mapinduzi, kuazia ngazi za uongozi mpaka wakipa chai...

Yawezekana baadhi ya taarifa, zinatangazwa na WAPIGA DEKI wakishirikiana na WAPIKA CHAI 😁😁.
Wapo humu
Ngoja wakudake alafu wakukanye 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wapo humu
Ngoja wakudake alafu wakukanye 😂😂😂😂😂😂😂😂
• Tunatumia Saikolojia, mtu ukimtania kuwa hajaoga, Alafu akaleta ukali juu ya hilo ujue ni kweli hajaoga... 😀😀. (Wapika chai + wapiga deki )
 
• Tunatumia Saikolojia, mtu ukimtania kuwa hajaoga, Alafu akaleta ukali juu ya hilo ujue ni kweli hajaoga... 😀😀. (Wapika chai + wapiga deki )
Aliteleza jamani
Mbona hamna dogo watanzania 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom