Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
How hiyo meli itavuka ziwa moja kwenda jingine tena maziwa yenye sifa tofautiView attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Wanaajiri watoto mbumbumbu wa wake wenza!How hiyo meli itavuka ziwa moja kwenda jingine tena maziwa yenye sifa tofauti
Mkuu usipokuwa na akili za kwako mwenyewe usilaumu mapungufu yako kwa wengine.Ulijiridhisha kwa upande wa pili wa aliotaja mtangazaji kuwa walisema zitaenda hizo nchi?
Inawezekana ana report kilichosemwa tu ambapo hapo anakuwa si mbumbumbu ikizingatiwa kataja kabisa nani aliesema hizo habari.
Atakuwa mbumbumbu kama huyo alietajwa hakusema hayo maneno.
Ila baada ya yote haibadilishi ukweli kuwa TBC ni ovyo kabisa.
Advanced technogy inahusu. Hii meli inapaa anganiView attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Hiyo ndo hali halisi ya watumishi wa umma walivyo! Hili udumu katika ajira serikalini lazima huwe mchawi uroge wenye akili wakimbie ubakie wewe! Ofisi nyingi za serikali watumishi wake ni mbumbumbu!View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip insyotrend mitandzoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majsribio na kufika Kenya, Ugsnda, Burundi, Congo, Malawi na South Sudan.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Hiyo meli ni ya kisasa duniani ni ya aina yake kwani inao uwezo wa kupaa angani.View attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Nimecheka.mpaka nimeshindwa kuandikaView attachment 2948406
Nimeshangazwa, kama si kusikitishwa niliposikia hii clip inayo trend mitandaoni.
Meli mpya ya MV Mwanza imeanza majaribio.
Mtangazaji wa TBC kadakia ,ati meli itafanya majaribio na kufika Kenya, Uganda, Burundi, Congo, Malawi na Sudan Kusini.
Nikajuta kuifanamu TBC, kumbe kuna mambumbumbu wengi.
Mijamaa hapo tiibisii haitaki kushughulisha skili.iyo ni meli ama ndege sasa..