...Chaneli yenu mpya ya "Tanzania Safari" iwepo katika Ving'amuzi vyote. Itawaongezea pointi nyingi mkiisimamia vizuri.
du!pole kwa hasiraHovyo kabisa, Badala ya kumtafuta Tido Muhaondo awape ushauri, mmemfungulia kesi, yaani hovyo, namaanisha hovyo kwa kweli, hovyo mara hovyo, mmegeuka tawi la CCM, Yaan namuangalia Ryoba mpaka namshangaa, utadhani shuleni alienda kusomea ujinga
HeTBC mnaweza kweli kuweka ratiba ya vipindi vyenu? Teh teh teh teh teh( in king majuto's voice. R.I.P)
Ona sasa wapi Sam Mahela,kapotezwa. TBC ni kama ccm ukihamia huko lazima uwe kipofu sijui ni kwa niniWafanyakz sio wabunifu utangazaji ni kipawa
kada unatumika3. Safi
4. Unaweza kutaja mifano? Pendekeza mfano wa kipindi mkuu.
kuutwa mmikalia jiwee jiwee uzinduzi live mbona bunge hamuonyesh liveMkuu umetoa wazozuri but inaitajika tutambue kuwa TBC nichanel ya taifa so lazima ijitahidi kufata na kutunza misingi ya habari na heshima kiujumla vile vile tusije kutegemea kwamba TBC itakuja kuwa Chanel pendwa km ilivyo kuwa clouds au eatv coz TBC haiwezi kutangaza habari zinazo tupendeza sisi vijana kwamfano Leo tunataka kusikia habari kuhusu skendo za mastaa ambazo kwaasilimia kubwa zinaibomoa jamii na kuharibu tamaduni zetu km watanzania, na hata tukiangalia hizo Chanel tunazo zisifia vipindi vyake pendwa na vinavyo sifika nivipindi ambavyo nivigumu Sana kusikika katika Chanel km TBC.
Hasa ccm.[emoji23] tbc mmezidi kuwa tv ya serikali.... hadi kipindi cha mahaba ya familia mnazungumzia uzalendo wa nchi....Mchawi wenu ni nyinyi wenyewe