TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

Daaah we msengerema umenikosha sana, kula LIKE LIKE LIKE LIKE LIKE LIKE x100000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanyieni kazimasuala ya msingi ambayo yamekwishazungumzwa na watu. Lakini kusisitizia tuu, jitahidini kuwapangia shughuli nyingine hao watangazaji wazee. Watangazaji hawana mvuto kabisa kuwaangalia, mwingine unakuta anaongea huku povu likimtoka kwa sababu ya utu uzima!!. Kama walivyozungumza wengine, wamama wamekuwa ni vibonge kupita kiasi!!!!.
 
Hakuna kitu kisicho na changamoto pamoja na mambo mazuri Rekebisheni yafuatayo,
1.Mpira ni ajira tafadhari tuonyesheni Mpira tunazidiwa na ZBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upande wangu,ubora wa picha na Sauti bado uko chini,vipindi viko vzr kwani nyie ni TV ya umma elimu ichukue nafasi kubwa kwenye vipindi sio kua na mziki zaidi hapana ni hayo tu mengine hongera kwa kua watangazaji wenye weredi kuliko kujali muonekano wa nje mjiepushe kua kama TV zingine zenye kuangalia urembo si weredi simameni hapohapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hureeeeeeeeeee 👍👍👍
 
muda hauzingatiwi kama kipind ni cha nusu saa ikiisha kata weka pindi linalofata.watu tunatenga muda kucheki pindi fulan muda ukifika unaletewa tukio la kada wa chama kafungua tawi,guys badilixheni na makamera yenu tumechoka kuona vumbi arif,naomba kuwasilisha.
 
Manabii na mitume mliomo humu,Mimi naitaji maombi maalum ili nipate hamu ya kutazama TBC japo kidogo tu.maana kila nikiilenga TBC automatic hamu inakata kabla yenyewe haijatokea,hivyo naamia Chanel zingine au nazima kabisa TV.
 
1.mtangazaj anapepesa macho huku na huku,yaan against cameraz

2.kivuli...yaan upande m1 wa mtangazaj una giza,no lights
3.saut ni mgogoro.

4.wanaweka watangazaj wa redio kwenye tv,bas ni kituko,mtu anasoma habar huku kaangalia chin.

Well,nmerud nmekuta kingamuz kmeisha,bas channel100dish na tbc tuu ndo znaonekana

Ni lawama kwakwel...mambo ni meng ila sio kihvyo tbc

Uzi tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavazi yao sasa.....halafu waangalie na maumbo ya watu wa kutangaza...mtu anatangaza yani umbo nene hata havutii
 
Eti nimekupa na Like!
 
angalia channel ten ndo wamehaidiwa kupewa M200 watakuwa wamefanya marekebisho mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana si mnajikuta mnapenda crown..
Jitahidi mzee,december uvute tourage
Natafta gar ya kiume ya kaz,chuma yan,rav 4 hiv,toleo lilee la kwanza,..maana hii passo hata nkitaka kwenda kwa bibi hua namawazo sana

Nmeiona moja mtandaoni,km 30000,japan...had bongo kila kitu 14mil.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…