TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

Wengine wamejitahidi kufikia HD ila wao bado wapo na 3GP tu..πŸ˜€
 
TBC ni kama ileeee KBC ya Moi.. Sema tofauti KBC was 90's & TBC sasa.. Bad!
 
Jamani nawaomba wadau hiii taarifa mnisaidie imfikie Mkurugenzi wa TBC ,nimesikitika kuona kwenye taarifa Ya habari Ya kimataifa kwenye tbc iliyohusisha habari Ya Mahakama Ya weingereza kuhusu kesi iliyokuwa inamhusisha waziri mkuu wa weingereza kusitisha bunge kwa ajiri Ya breixt Mtangazaji anadanganya usiku kweupeeee eti Mtangazaji anasema kuwa Mahakama hiyo imempa ushindi waziri mkuu, mbaya zaid Mtangazaji ameifafanua hiyo kesi kuwa Mahakama imekubali kuwa waziri mkuu alikuwa Sahihi kuiondoa weingereza kwenye mkataba wa breixt pasipo makubaliano, duuuu Mkurugenzi mtafute huyo aliesoma hiyo taaarifa haraka ajieleze hii ni television Ya taifa mtu kudanganya hivyo ni kosa kubwa mno hii tbc hata rais anaisikiliza

Nikuwa Mahakama imesema kuwa waziri mkuu alimdanganya malikia hivyo alivunja sheria kustisha bunge na tiyari serikali Ya wengereza imesema itakata rufaaa sio Kama tbc ilivyotangaza mmemaaanika jamani huyo alietangaza kadanganya
 
Mimi nawapongeza sana TBC kwa habari nzuri tatizo lao kubwa kutoa habari za upande mmoja hata kama kuja habari za vyama vingine kutoka kwake kwa tabu sana wao wameelemea ccm tu wakati hiki ni chombo cha taifa cha watanzania wote.
 

Usijali, Mheshimiwa sasa haitaji watu wanaojipendekeza, watanyoshwa tu!
 
TBCCM haina jipya na haitakuwa na jipya hadi Yesu atakaporudi.
 
Onyesheni mechi za ligi kuu Tanzania. Kwani platform yenu ni kubwa. Tungependa kuona local talents.Sijui sheria zikoje maana nasikia Azam anaonyesha
 
Mm ningeshauri mjitenge na upendeleo wa kisiasa vyama vyote ni vya tanzania mjitoe kwenye biasness ya uccm TBC ni ya watanzania wote na si ya Chama kingine mpende kuutangaza ukweli hata kama haumfuraishi mtukufu flani la mwisho ni muwe na utaratibu wa kuweka records na kuzifuatilia especially za ahadi za uchunguzi unaendelea tutawafahamisha za jeshi la polisi
 
machinga smart huyu dogo sijui kwamba hata alisoma, anauliza maswali ya kipuuzi kabisa.
wanauliza swali lilelile tuuu. "nini mchango wa mwalimu nyerere katika utalii" liliulizwa mwakajana na mwaka huu pia
Hamna weledi kabisa
 
mpuuzi wewe kodi unalipa wewe na huyo kichaa wako tu. tunaangalia tukiwa kwenye ofisi za wajinga kama wewe
Mtu akikuuliza kwa ustaarabu basi mjibu kistaarabu,hakuna haja ya kutupiana matusi.
Next time you gonna suffer de consequences of your immatured response.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…