TBC ni kituo cha kwanza duniani kuwa na studio yenye jiko

TBC ni kituo cha kwanza duniani kuwa na studio yenye jiko

Yap kaondoka
Kama kaondoka afazari manaake hakuwa mbunifu kabisa
Wee television ya taifa inakosa tamthilia ya kibongo yaani wanashindwa kuinua Sanaa ya maigizo

Namkubari Sana Tido Kwani nimbunifu Sana ndiyo maana Azam tv inashine Kila iitwayo leo
 
Aiseee kumbe TBC bado ipo!!!!

Kumbe kuna watu wanakaa kabisa na kuangalia TBC
 
Tangu aondoke rioba hapo ni
vituko kipindi hakijulikani Kama ni jambo au Cha mapishi halafu kuna huyo annual mlafi yeye kasimama karibu na maandazi yanavyopi
kwa midume mizima inakula maandazi badala ya mihogo pambafu
Kumbe Rioba hayupo?
 
Wadau habari zenu !!

Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,.

Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio
View attachment 1996736
Ni kawaida sana tena kajiko ka TBC ni kadogo tu halafu ka kishamba.
 
Wadau habari zenu !!

Siku ya leo majira ya asubuhi nilioata wasaa wa kutazama chombo chetu cha habari cha taifa TBC TV katika hali ya kustaajibisha leo nikaona studio yao ina jiko kitu ambacho nimekiona cha ajabu sana,.

Nimebahatika kutazama vituo kadhaa vikubwaa mfano CNN, BBC, Al jazeera, SABC, Sky Newz, hiki kitu sijawahi kukiona kabisaaa.

Wadau naomba nililete kwenu mlione maana naona ni kitu cha utofauti sanaa lkn naona pia kina wafanya watangazaji wakose focus wanapokuwa studio halkadhalika na wageni wanao waalika pia maana mtu anakabidhiwa kombe la kahawa sijui chai kisha akachukue kitafunwa kisha aanze kutafuna pande la muhogo huku anaongea ni wazi ipo siku mtu atakuja kupaliwa pale studio atazirai na itakuwa kasheshe hapo studio
View attachment 1996736
Kuna vipindi vya mapishi na morning breakfast, hivi ni lazima vionekane kwenye mazingira ya jikoni au mesi.
 
Kwenye jiko sijaona shida ila uyo mtangazaji mikono mfukoni mda wote sio poa kabisa.
 
Kuna mmoja kajimwagia chai ya Moto kwenye korodani aise kaacha kutangaza waendeleee tu na kuweka pombe hapo....wakate maunoo
 
Kuna vipindi vya mapishi na morning breakfast, hivi ni lazima vionekane kwenye mazingira ya jikoni au mesi.
Kwa hiyo ata vipindi vya afya navyo viwe na ka dispensary ndani ? 😆😆😆😆 Mkuu una chekesha ..ile jiko ipo ndan ya studio ..
 
Back
Top Bottom