Uchaguzi 2020 TBC ni pasua kichwa na wala hawaaminiki, Wamechakachua matangazo mbashara ya NCCR na CHAUMMA

Uchaguzi 2020 TBC ni pasua kichwa na wala hawaaminiki, Wamechakachua matangazo mbashara ya NCCR na CHAUMMA

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Wameona Mbatia anatema cheche wamekata matangazo na kutupeleka kwa rungwe

Hivi wataacha lini huu uhuni?
Hakuna anaetaka kumsifia jiwe tena nchi hii



Update
Rungwe kwanza kuongelea juu ya ulafi wa serikali kutoza Jodi maiti wamekata na huko


Hawa majamaa hawaaminiki kabisa
I
Nimekereka sana TBC na ITV wote wanaonesha CHAUMA na kwa nini TV nyingine isingebaki inaonesha NCCR MAGEUZI tunanyimwa uhuru , nchi hii imekuwaje miaka hii.
Wapwa

TBC mnahaha kumfurahisha mgombea wenu lakini nature inakataa kabisa, waacheni wagombea waongee ukweli

Naangalia hapa mkienda NCCR watu wanatema cheche, mkirudi Chauma, hashimu rungwe ndo balaa.

Mpaka mnakuja na sababu za uongo, mara ooh kuna matatizo ya sauti

Natamani siku mkienda tena chadema wawafukuze tena au ikiwezekana wapinzania wote waisusie TBC

TBC msitegemee kuna mgombea atapanda jukwaani asiongee ukweli.
Ndugu zangu wana jukwaa;
Awali ya yote,wengi wetu tunafahamu juu ya uhuni unaofanywa na TBC.
Uhuni huo,ni wa kukata sauti pindi wapinzani wanapoongea hoja nzito dhidi ya chama tawala.
Walianza kwa CHADEMA.
Na leo wanaendeleza uhuni huo dhidi ya NCCR na CHAUMA.
Hii si sawa!!
TBC imekuwa ni chombo cha habari huni.
Pongezi kwenu Chadema kwa hatua mlizochukua.
 
Mbatia naye si ajiosheepo chap
 
Nimekereka sana TBC na ITV wote wanaonesha CHAUMA na kwa nini TV nyingine isingebaki inaonesha NCCR MAGEUZI tunanyimwa uhuru , nchi hii imekuwaje miaka hii.
 
Wapwa

TBC mnahaha kumfurahisha mgombea wenu lakini nature inakataa kabisa, waacheni wagombea waongee ukweli

Naangalia hapa mkienda NCCR watu wanatema cheche, mkirudi Chauma, hashimu rungwe ndo balaa.

Mpaka mnakuja na sababu za uongo, mara ooh kuna matatizo ya sauti

Natamani siku mkienda tena chadema wawafukuze tena au ikiwezekana wapinzania wote waisusie TBC

TBC msitegemee kuna mgombea atapanda jukwaani asiongee ukweli.
 
Hii tabia sijui inaendelezwa kwa mamlaka au amri ya nani

Leo tena wamewazimia tena nccr jamaa mgombea alivyoanza tu kusema huu utawala ni mbaya......sauti ikapotea ikawa hawarushi sauti

Ni aibu sana kwenu tbc

Shame on you tbc sio poa mnavyofanya mbona chama tawala hamuwazimii sauti jamani?
 
Aisee hawa jamaa mpaka damu ziwatoke masikioni ndio wataelewa

Mgombea wa Nccr alikuwa anatuma ujumbe kwa Sirro wakakata sauti,wameenda kwa Hashimu Rungwe wakakuta anaichana serikali kukamata watu ovyo bila ushahidi na matumizi mabaya ya madaraka,na wakataka sauti tena

TBC mnachokitafuta mtakipaka mda sio mrefu,hamuwezi Kuinusuru CCM kwa mbinu zenu chafu
 
Sikio la kufa halisikii dawa. Yaani wakianza kuwananga CCM na serikali yao basi TBC wanakata sauti hata sioni faida ya kuwaita. Wakiendelea hivi kuna ambacho kinaweza kutokea na hakita kuwa kizuri. Tusubiri....
 
Back
Top Bottom