Uchaguzi 2020 TBC ni pasua kichwa na wala hawaaminiki, Wamechakachua matangazo mbashara ya NCCR na CHAUMMA

Uchaguzi 2020 TBC ni pasua kichwa na wala hawaaminiki, Wamechakachua matangazo mbashara ya NCCR na CHAUMMA

Hii tabia sijui inaendelezwa kwa mamlaka au amri ya nani

Leo tena wamewazimia tena nccr jamaa mgombea alivyoanza tu kusema huu utawala ni mbaya......sauti ikapotea ikawa hawarushi sauti

Ni aibu sana kwenu tbc

Shame on you tbc sio poa mnavyofanya mbona chama tawala hamuwazimii sauti jamani?
chagu wa malunde
 
tbc kurusha matangazo itakuja kuwa justification malalamiko yakitokea baadaye,kwamba tulirusha bila upendleo
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Eeeeh Mwenyezi Mungu tusaidie kwenye uchaguzi akasimame yule uliyemkusudia wewe
 
Na wasiwasi hizi kampeni TBC wanaweza Kuja kupigwa mawe Hawa wajinga
 
Wameona Mbatia anatema cheche wamekata matangazo na kutupeleka kwa rungwe

Hivi wataacha lini huu uhuni?
Hakuna anaetaka kumsifia jiwe tena nchi hii



Update
Rungwe kwanza kuongelea juu ya ulafi wa serikali kutoza Jodi maiti wamekata na huko


Hawa majamaa hawaaminiki kabisa
I
Si mlisema TBC hamuangalii wala kuisikiliza? Wapinzani bwana tumbavu kabisa!!
 
zile club uchwara za waanishi wa habari mbona sizioni zikitoa matamko tena???
 
Back
Top Bottom