Uchaguzi 2020 TBC ni waungwana sana leo wameripoti mkutano wa kampeni wa CHADEMA kule Zanzibar

Uchaguzi 2020 TBC ni waungwana sana leo wameripoti mkutano wa kampeni wa CHADEMA kule Zanzibar

Ile incidence ilikuwa ina madhara makubwa kwa TBC kama chombo cha habari kinachotumiwa na wateja wa itikadi tofauti kwa matangazo ya biashara n.k.

Ndiyo maana ili kukinusuru ikabidi wamuombe Balile awakutanishe na Mbowe ili kulimaliza.

Ryoba aliyasema haya kwa kinywa chake mwenyewe.
 
Wafate maadili ya uandishi wa habari. Huwezi kuchukiwa bure na kila mtu, ukiona hivyo ujue una tatizo.
Wamechukiwa bure na Kila mtu? Tangu lini? Yaani wewe na wanaharakati wenzio wachache mkiichukia TBC ndiyo Kila mtu?
 
Kwani TBC ni ya kwako? Kiasi kwamba ikitangaza habari ya CHADEMA unashangaa!
 
Wanajitoa ufahamu tu,wapo pale lwa ajili ya kodi zetu.

TBC fanyeni kazi kwa weredi.
 
Hata kama wanafukuzwa?!
TBC ni mali ya umma, na bosi wake ni wananchi, bosi akiona kuna mambo hayapo sawa katika utendaji kazi anayo haki yakukutimua. Lakini walifanya jambo jema kuzungumza na baadhi ya mabosi wake nakuondoa tatizo. Na wakizingua tena wanaondoka, mwaka huu hakuna kubembelezana.
 
Pamoja na kwamba walitimuliwa kwa aibu na mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe pale Mbagala na hatimaye Balile kumkutanisha Mbowe na MD wa TBC Ryoba na kuwaombea msamaha, TBC wameonyesha uzalendo.
Maendeleo hayana vyama kivipi wakati mgombea anasema mkinichanganyia vyama mtajuta, chama kwanza mtu baadae
 
Wakiendelea kukaidi maadili ya uandishi na kanuni za tume ya uchaguzi ni mwendo mdundo, wanafurushwa tena, teknolojia iliyopo inaiwezesha CHADEMA kufikisha ujumbe popote pale bila kuwategemea TBC!
 
Ngoja tuwape benefit of doubt labda watabadirika for the better of this nation, iIa tabia yao ya kuwa Partisan ni ya kishamba kwa TV ya Taifa maana inaonyesha watendaji wake wanadhani kuwa wana deni la kulipa wa chama tawala
 
Pamoja na kwamba walitimuliwa kwa aibu na mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe pale Mbagala na hatimaye Balile kumkutanisha Mbowe na MD wa TBC Ryoba na kuwaombea msamaha, TBC wameonyesha uzalendo...

Aibu kwa TBC
 
Pamoja na kwamba walitimuliwa kwa aibu na mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe pale Mbagala na hatimaye Balile kumkutanisha Mbowe na MD wa TBC Ryoba na kuwaombea msamaha, TBC wameonyesha uzalendo...
Wameonyesha mkutano au wameripoti mkutano weka sawa tafadhali
 
Back
Top Bottom