Uchaguzi 2020 TBC ni waungwana sana leo wameripoti mkutano wa kampeni wa CHADEMA kule Zanzibar

Pamoja na kwamba walitimuliwa kwa aibu na mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe pale Mbagala na hatimaye Balile kumkutanisha Mbowe na MD wa TBC Ryoba na kuwaombea msamaha, TBC wameonyesha uzalendo...
Usijitoe ufahamu! tbc kuonyesha mkutano wa kampeni wa chadema sio hisani! kumbuka watu walioko chadema ni watanzania, na wanalipa kodi, na tbc inaendeshwa kwa kodi za watanzania! Nazani tbc walipaswa kushitakiwa! maana wanatumia vibaya kodi za watanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…