TBC: Rais Samia afanya mahojiano na Dkt. Ayub Ryoba kuangazia mwaka mmoja wa awamu ya 6 madarakani

TBC: Rais Samia afanya mahojiano na Dkt. Ayub Ryoba kuangazia mwaka mmoja wa awamu ya 6 madarakani

JPM alikuwa ana ladha kwny Hotuba zake hasa yale Makavu mf. Kama hutaki kulipia huduma ya Choo baki na Mavi yako nyumbani

Pia alikuwa real sana bila ya kusahau pamoja na ukali wote still alikuwa Rais mcheshi sana hakosi kutania tania ila samia si mkali ila kauzu hana utani wala bashasha kwny Hotuba
Samia Yuko poa Sana, sema watanzania wengi inaonekana hawafuatilii hotuba zake Kama kwa Magufuli, sababu hazina drama nyingi za kufoka foka, na kujidai kujipiga kifua
 
Samia Yuko poa Sana, sema watanzania wengi inaonekana hawafuatilii hotuba zake Kama kwa Magufuli, sababu hazina drama nyingi za kufoka foka, na kujidai kujipiga kifua
Magufuri ndo aliharibu na kufanya watu wasifuatilie hotuba
 
Nadhani suala la msingi kabisa..ni katiba mpya itakayotupatia uchaguzi huru na wahaki..na usimamizi mkali wa sheria zetu.

Hapo ndio tutaweza kumove mbele hapa tulipo tumestuck.

#MaendeleoHayanaChama
Katiba haikuletea maendeleo mjomba
 
Back
Top Bottom