Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Rais mteule Hakainde Hichilema. Jana Amelihutubia Taifa na kusema Yafuatayo
[emoji117]TV ya TAIFA haikuonyesha MIKUTANO ya UPINZANI
[emoji117]Msipoyaonyesha Watazamaji Watapungua
[emoji117]Watazamaji Wakipungua hamtapata Matangazo
[emoji117]Mkikosa Matangazo Mtakufa na Mtafunga
[emoji117]Mwisho Akawaomba Wafuasi Wake WASILIPE VISASI
TBC Tanzania BADILIKENI hiyo ni TELEVISHENI ya TAIFA VYAMA vyote Vina HAKI Sawa kwani Wanachama na Wafuasi Wao WANALIPA KODI KODI hailipwi na Wanachama na Wafuasi wa CCM tu
TBC BADILIKENI
Hongera sana Rais Mteule kwa UJUMBE
[emoji117]TV ya TAIFA haikuonyesha MIKUTANO ya UPINZANI
[emoji117]Msipoyaonyesha Watazamaji Watapungua
[emoji117]Watazamaji Wakipungua hamtapata Matangazo
[emoji117]Mkikosa Matangazo Mtakufa na Mtafunga
[emoji117]Mwisho Akawaomba Wafuasi Wake WASILIPE VISASI
TBC Tanzania BADILIKENI hiyo ni TELEVISHENI ya TAIFA VYAMA vyote Vina HAKI Sawa kwani Wanachama na Wafuasi Wao WANALIPA KODI KODI hailipwi na Wanachama na Wafuasi wa CCM tu
TBC BADILIKENI
Hongera sana Rais Mteule kwa UJUMBE