TBC Tanzania badilikeni, hiyo ni televisheni ya taifa -- vyama vyote vina haki sawa

TBC Tanzania badilikeni, hiyo ni televisheni ya taifa -- vyama vyote vina haki sawa

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
3,085
Reaction score
4,890
Rais mteule Hakainde Hichilema. Jana Amelihutubia Taifa na kusema Yafuatayo

[emoji117]TV ya TAIFA haikuonyesha MIKUTANO ya UPINZANI
[emoji117]Msipoyaonyesha Watazamaji Watapungua
[emoji117]Watazamaji Wakipungua hamtapata Matangazo
[emoji117]Mkikosa Matangazo Mtakufa na Mtafunga
[emoji117]Mwisho Akawaomba Wafuasi Wake WASILIPE VISASI

TBC Tanzania BADILIKENI hiyo ni TELEVISHENI ya TAIFA VYAMA vyote Vina HAKI Sawa kwani Wanachama na Wafuasi Wao WANALIPA KODI KODI hailipwi na Wanachama na Wafuasi wa CCM tu
TBC BADILIKENI

Hongera sana Rais Mteule kwa UJUMBE

1629187170288.jpg
 
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria lakini wamefanikisha malengo yao!

Upinzani Zambia umeshinda bila ya katiba mpya!

Lisu na machadema mna la kujifunza!
 
TBC isingekuwa inapata ruzuku kutoka serikalini,ingekuwa imeshajifia!
Kama TBC wangekuwa wanalipwa kutokana na kufanya kazi bc watu wote wangependa kuangalia TBC, pia pasingekuwa na kulalamikiwa, leo hii mtu ukimkuta anaangalia tbc bc ujue hana kifurushi.

Ikitokea upinzani kupata nchi bc wafanyakazi wote wa TBC hawana kazi
 
Najua wewe siyo CCM ila napenda kusema kuwa CCM ni wajinga sana. Eti wanafikiri katiba mpya ni kwa ajili ya chama fulani kushinda uchaguzi!! Katiba mpya ni ya wananchi. Tume ya Waryoba ilikusanya maoni ya wananchi 2015. Hiyo haikuwa kwa ajili ya chama fulani kushinda uchaguzi.
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria lakini wamefanikisha malengo yao!

Upinzani Zambia umeshinda bila ya katiba mpya!

Lisu na machadema mna la kujifunza!
 
Akili za matope,kwamba katiba mpya ni kwa ajili ya uchaguzi!Shame on you!
Ndio machadema yanvyofikri mkuu!

Yani ukiyauliza mnataka katiba mpya ili iweje? Yanakwambia ili kushinda urais
 
Najua wewe siyo CCM ila napenda kusema kuwa CCM ni wajinga sana. Eti wanafikiri katiba mpya ni kwa ajili ya chama fulani kushinda uchaguzi!! Katiba mpya ni ya wananchi. Tume ya Waryoba ilikusanya maoni ya wananchi 2015. Hiyo haikuwa kwa ajili ya chama fulani kushinda uchaguzi.
Hayo ndo mawazo ya viongozi na wanachama wanao faidi huko CCM.

Mbaya zaidi viongizi wote wa vyombo vya dola nao wapo hivyo hivyo. Hivyo hofu imewajaa.

Wapotayari kutoa roho watu, ilimradi hoja hii isije kupata nguvu miongoni mwa wananchi.

Mtu anayetaka katiba mpya wanamchukia kuliko Jambazi anaye pora watu mali na hela zao kwa bunduki.
 
Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria lakini wamefanikisha malengo yao!

Upinzani Zambia umeshinda bila ya katiba mpya!

Lisu na machadema mna la kujifunza!
Ndio maoni na mtazamo wako binafsi nauheshimu.
 
Wao wanatumikia chama chawala, vinginevyo useme hata polisi wabadilike.
 
Ndio machadema yanvyofikri mkuu!

Yani ukiyauliza mnataka katiba mpya ili iweje? Yanakwambia ili kushinda urais
ucngzie chadema, nyie ccm ndo mnajua hvyo kuwa katiba mpya ikipatikana basi upinzani wanachukua nchi na ndo maana hamuitaki hata kuickia
 
Hiyo ni sawa na mgonjwa aliyekata kauli kumnunulia chipsi kuku.
 
Unajua ofisi zao zilipo? mwonekano wa ofisi za tbc ni takataka km vipindi vyao.
 
Back
Top Bottom