TBC Tanzania badilikeni, hiyo ni televisheni ya taifa -- vyama vyote vina haki sawa

Hiyo ni Zambia sio Tanzania.
 
Naona umemgonga kwa nidhamu sana. Hii ni nzuri, kwa sababu kama yuko vizuri upstairs, inamkolea zaidi IDEGENDA
 
Ndio machadema yanvyofikri mkuu!

Yani ukiyauliza mnataka katiba mpya ili iweje? Yanakwambia ili kushinda urais
Wewe ni mjinga,ungehudhuria kongamano la CDM hata moja kuhusu katiba ungeelewa ni wanapigania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…