Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wasisumbuke kukesha na vikao kama hawautaki ukweli,ni uselessWanaogopa kutumbuliwa
Anamaanisha TV 1 Imeanzishwa KARIBUNI lakini Iko Juu >>unalinganisha tv1 na vitu vya hovyo??
hata kama ni mimi siisemi sababu maana hata hao wanaouliza wanajua sababu ila wanakejeli za kitotoUnaweza kuta kwenye hivyo vikao wanaikwepa sababu halisi!
Una point lakini Kiswahili umeharibu sana. Aliludisha=alirudisha; wakaludi=wakarudi; sitadhami=sitazami; icho =hicho. Furahi kwani hauko peke yako. Hili ni tatizo la nchi nzima!Wakati Alipo kuepo Tido Muhando Aliludisha Iman Kwawatazamaji Lkn Alipo Ondoka Wakaludi Ktk Mfumo Wao Kama Chombo Cha Kisiasa Mimi Kwangu Imekua Nikama Mwiko Kutadhama Chombo Icho Mpaka Watakapo Jirekebisha
[emoji3][emoji3][emoji3]uchokozi huo mkuuUna point lakini Kiswahili umeharibu sana. Aliludisha=alirudisha; wakaludi=wakarudi; sitadhami=sitazami; icho =hicho. Furahi kwani hauko peke yako. Hili ni tatizo la nchi nzima!
Nakubaliana na wewe kwa 100% tatizo la TBC hakuna asiyelijuwa Dr Riobaamshauri Magufuli awape pesa ccm waanzishe tv yao ya propaganda zao na Tbc iachwe huru iingie kwenye ushindani wa kibiashara, mimi hilo litv la hovyo nilikuwa naangaliaga bunge tu lakini tangu wameondoa bunge sijui kinachoendelea Tbc.Nyie mnapotoshwa maboya,wenzenu watakuwa wamekaa ili kujiandikia mzigo WA Xmas na Nyie kwa kuwaza haraka haraka mmedhani wanadiscuss performance.
Ule ulikuwa mkesha mahsusi ukienda kucheck muamala WA Oc ndio utaelewa walikuwa wanajadili nini
UBAGUZI NA UPENDELEO BILA KUFUATA WELEDI WA KUFANYA KAZI KAMA SHIRIKA NA MALI YA WATANZANIA WOTE, ndo kinacho itesa TBCUonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.