Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Naikumbuka RTD ya zamani ya akina Bakari Msulua kwenye kipindi cha majira. Nilikua nikisikia ile ngoma yao najua ni mida ya kwenda shule, huku Malima Ndelema nae akipagawisha, Tumbo Risasi na Abisai Steven wakiwakilisha Kigoma na Songea, Chaz Hilary akitangaza mpira, Angalieni Mpendu na Chokinohera wakinogesha
 
Ngoja tusubiri kama wataonyesha mpira kombe la Afrika January
 
Sasa ni wakati muafaka wa TBC kurusha bunge live pamoja na kuonesha Mpira live
 
Back
Top Bottom