Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kwa mwandiko huu wa "mwandio"napata picha kuwa wewe ni ke+Kwa mwandio huu wa ITALUDI huwa napata picha kwamba aliyeandika ni mtoto wa shule au ke..
HATA VIONGOZI WA SERIKALI HAWAITAKI TBC WANATAKA CLOUDS TV NA VITUO BINAFSI. HAYO NDIYO MATOKEO YA KUTANGAZA HABARI ZA CHAMA TAWALA KAMA VILE WATU WOTE NI WANACHAMA WA CCM. WAFANYAKAZI WA TBC WAMEVIMBIWA NA RUZUKU WANAFICHAFICHA TAARIFA, HAYA ANGALIENI NYIE WAFANYAKAZI WA TBC PEKE YENU.Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
Ahaaaa..anajitahidi mkuuMarin naye mtangazaji? Tutake radhi,si bora Zembwela
Nadhani warudishe binge live, wafapata kick kidogo.Kwani bado hicho kituo kipo mi nlijua kimefungwa
Wamwage fungu kwa Tido na chaaaazzzz Hilari waache ubahiliWakati Alipo kuepo Tido Muhando Aliludisha Iman Kwawatazamaji Lkn Alipo Ondoka Wakaludi Ktk Mfumo Wao Kama Chombo Cha Kisiasa Mimi Kwangu Imekua Nikama Mwiko Kutadhama Chombo Icho Mpaka Watakapo Jirekebisha
Hiyo inaweza kuwasaidia kidogoNadhani warudishe binge live, wafapata kick kidogo.
HUYU MKURUGENZI MPYA KIJANA SIJUI ANAKWAMIA WAPI?...
-->>AONDOE BIASIMENT
-->>PROGRAM ZA VIPINDI TVs,RADIO WAVIPANGILIE UPYA...
-->>WAITE DAMU CHANGA, ZENYE UBUNIFU KAMA GERALD HANDO.
-->>VIPINDI VYAO VILENGE KUNDI LA VIJANA WALIOWENGI KWA SASA...
-->>WAIBE WAFANYAKAZI MAHIRI KUTOKA VITUO VINGINE...