Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Greechie; inawezekana walikuwa wanajadili walikotoka na waliko sasa, ni kweli TBC inapoteza mvuto inachuja mmno habari na hawaiweki katika uhalisia, watu wanahitaji kusikia kitu kpya. Tido Mhando alipoiweka TBC kwenye chart wakamtumbua kwa hofu ya kuwafumbua macho watanzania, warudi kwenye strategic plan ya Tido waone kama TBC haitangara. lakini pia mambo ya kudharau tuache wizara ya habari inahitaji mtu makini sana mwenye upeo wa juu, na uwezo wa kuijua kesho si suala la mtu tu maadamu anajua kuchonga sana. wizara hii inalitangaza Taifa kimataifa.