Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Hata mawingu media anayoihusudu mukulu haina mi-bias kama ya hawa tbccc
wafanye nini ili mgonjwa apate nafuu:
1. waboreshe uoni
2. watafute vipindi kutoka kwa independent producers wenye ubunifu kv komedi,talk shows
3.waboreshe grafix,wanazo za kitoto sana
4.wasiende mbali...wakajifunze kile KBC inafanya ina nafuu sana ile
5.waachane na senior ambao ni stagnant ikiwezekana wawademote waweke vichwa kwenye idara za production ambao wako sharp
6.tv ni taswira na skills wengi wa watangazaji wao hususani wa habari mvuto -3 skills -2
7. wa design upya studio zao zimekaa ki-amateur sana hasa ya habari...
8.mkurugenzi mkuu akaonane na mukulu pale gogoni amwambie shauku yake ya kuleta mabadiliko bila interference ya mtu hata WH mwenyewe au makada waandamizi wa cccccm
9.waongeze yao
10.wanitafute niwafanyie kazi ya maboresho spana ninazo[emoji4]
nyadikwa
 
Piga chini wote weka wengine. Tupo tumejaa mtaani na skills zetu hatuna ajira. Setting zao zote za kizamani wala hazina ile passion na kumfanya mtu avutike. Hakuna ubunifu, hakuna utaalam wala hakuna attraction yeyote. Nadhani hata wakibadilisha vitendea kazi kama bado indivuals ni walewale basi hapo hakuna changes yoyote. Vikao vitakuwa vingi sana tu
 
HAKUNA JAMBO LILINIKERA TBC KAMA KURUSHA KAMPENI ZA CCM... WALISAHAU WAJIBU WAO. WALIKUWA WANAONYESHA BIAS WAZI WAZI... WAIFANYE IWE YA CCM RASMI TUJUE MOJA.

NAJIULIZA KWANI WALE WANACHAMA WA CCM MILIONI 8 SI WANGEWEZA KUIRUDISHA KWENYE CHAT... IMEKUWAJE AU NAO WAPO KWENYE MGOMO BARIDI KWA VILE BUKU SABA HAZIPO TENA?? INAWEZEKANA WENGI WAO HAWANA TV... NA SIKU HIZI MPAKA VING'AMUZI HEHEHEHE... KWANGU MIMI HII NI FURAHA, I AM MORE THAN HAPPY KUWAONA WANAFULIA.

CHANEL NIMELIPIGA PG..
 
Mchakato majimboni kipindi cha Uchaguzi kipindi Tido yupo nilikua naipenda sana TBC na ndipo nilimfahamia kamanda Lema lkn hicho ndio kilikua kikwazo wakamfukuza Mzee wa watu Tido sasa wanashangaa wamebaki wenyewe
 
Hiyo ni TV ya ccm mfano mimi nimeifuta kabisaa kwenye king'amuzi changu sitaki hata kusikia wala kuona channel ya chama,hadi hapo Mungu atakapojalia tutakapowaondoa na chama chao hatamu.
 
Warudi watazame walipojikwaa wang'oe kisiki. Kama hawajui walipojikwaa wawaulize.
 
TBC ndio Tv ya kwanza kujiunga na Dstv lakini bado haina mvuto mpaka leo kuna nichanel7 ya Tz.Yani TBC imepitwa hata na Tv Imaan?!!!
 
Wnapaswa kujifunza mengi sana...kutoka media zingine pia wapaswa kuajiri pressenter wenye ubunifu wa kutoshaaa
 
Mnatakiwa kujua,taasis zote na vitu vyote vya umma ni vya hovyovyo tu,nenda hospital hovyo,nenda shuleni hovyo,panda ndege za atcl hovyo dah!watumish wa umma wanafanya kaz under morally sasa hapo unategemea kupata positive results!Tido ndo aliiweza tbc,ilipelekea had baadhi ya vyombo vya habar kupoteza umaarifu,alichukua waandish na watangazaj maarufu wote,leo hii hawapo tena walishakimbia,wamebak kama akina Jane John,ha ha ha!Watu yawapasa kujua.Nchi hii ni hovyo.
 
TBC ni kituo cha ajabu sana, pamoja na kupewa ruzuku na hata vifaa vya utangazaji lakini bure tupu. Wameshapoteza mwelekeo maana mtakatifu yeye yake ni mawingu...!
 
TBC wamebweteka sana sio wabunifu wa vitu Kama wenzao. Mm nazani kama as wananchi tunalipa kodi bado hamfanyi vizuri INA maana gani? Nazani badilikeni mfanya makubwa kama wenzenu na wanakuja kwa ksi sana ya kuwekeza vifaa. Ujuzi na hata technologia hebu angalien Azam vifaa walivyo navyo na wanavyofanya vizuri jaman amkeni
 
Sauti ya TV kama RTD vileeeee, Picha zao zimezidi kuwa HD kiasi cha kuudhi, style ya reporting kama Aljazeera, BBC, AFP. Hongereni ila msibweteke
 
Toka 2010 TBC watu wanazidi kutoipenda, wameopt out kabisa katika list ya tv wanazotizama hususani taarifa za habari.
 
Back
Top Bottom