Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kihalali hawezi kuwa na miaka 102! Hivyo 1925 ni sahihiKama alizaliwa 1925 ina maana amefariki akiwa na miaka 99 na kama alizaliwa 1920 amefariki akiwa na miaka 104.
Halafu unakuta mpaka Waziri wa Habari anasoma utumbo huoViwango vimeshuka, kila sehemu. Sijui tutafikia kilele cha kushuka lini, ili tuanze kujenga upya. Tusipo bahatika, tutabaki huko huko chini, mithili ya Haiti!
Hatari sana.
Kama alizaliwa 1925 ina maana amefariki akiwa na miaka 99 na kama alizaliwa 1920 amefariki akiwa na miaka 104.
Bora ya kufikirika, kuliko uongo wa kulazimisha.Unaona bora uamini mambo ya kufikirika
Kuna siku Makamu wa Rais, Dkt Mpango akiwa kwenye sherehe ya Siku ya Misitu Kilimanjaro, waliandika watu bilioni 10 Afrika wanatumia mkaa, nilishangaa sana.Wahariri wa TBC siwaelewi, wana access ya Mkuu wa Majeshi, Msemaji wa Jeshi, lakini bado wanakosea. Hata katika taarifa ya habari ya saa moja usiku wa leo, habari inahusu Mkoa wa Mwanza, caption imeandikwa Kigoma.
Anyway, kwa tuliosoma Kyuba, pale palipoandikwa marehemu "ameacha familia" tumeelewa kwamba huko katika sekta ya familia pia alitumikia taifa vizuri. Makamanda wote ni waumini wa moja kati ya "WWW"
View attachment 3138564
Or on its way to "a failed state"!Tanzania a failed state
Imeshafikia hukoOr on its way to "a failed state"!
Tipping point ni 2025, endapo kama CCM chini ya Samia ita endelea kuwepo madarakani.Imeshafikia huko
Shida ni CDF kuzaliwa 1920Wahariri wa TBC siwaelewi, wana access ya Mkuu wa Majeshi, Msemaji wa Jeshi, lakini bado wanakosea. Hata katika taarifa ya habari ya saa moja usiku wa leo, habari inahusu Mkoa wa Mwanza, caption imeandikwa Kigoma.
Anyway, kwa tuliosoma Kyuba, pale palipoandikwa marehemu "ameacha familia" tumeelewa kwamba huko katika sekta ya familia pia alitumikia taifa vizuri. Makamanda wote ni waumini wa moja kati ya "WWW"
View attachment 3138564
Wengi walipunguza umriHauko sahihi .
Huko nyuma fani zote ziliajiri hata watu wasiosoma kabisa na waliweza kupanda vyeo kihalali kabisa. Zamani hakukuwa na bodi mbalimbali za kitaaluma tena zenye meno kama sasa.
Nakumbuka zamani mtu akimaliza shule kijijini anakuja mjini kutafuta kazi na anapata kazi.
Ndio maana elimu za zamani nyingi ni za kujiendeleza, wako watu waliingia serikalini wakiwa form iv lakini wamesoma wakiwa humo humo na leo ni madokta wa PhD.
Kuhusu tofauti ya tarehe za kuzaliwa kwa watumishi wengi wa zamani walirudisha umri nyuma sasa unakuta nyaraka tofauti tofauti zinazowahusu waliandika tarehe tofauti za kuzaliwa hawakuwa wanakumbuka kuharmonise.
Hii ipo sana hasa kwenye nafasi za serikaliniAfandw Msuguri alipunguza umri ili aendelee na kazi, nyie hamjui tu.
Marehemu atakuwa alizaliwa mara mbiliWahariri wa TBC siwaelewi, wana access ya Mkuu wa Majeshi, Msemaji wa Jeshi, lakini bado wanakosea. Hata katika taarifa ya habari ya saa moja usiku wa leo, habari inahusu Mkoa wa Mwanza, caption imeandikwa Kigoma.
Anyway, kwa tuliosoma Kyuba, pale palipoandikwa marehemu "ameacha familia" tumeelewa kwamba huko katika sekta ya familia pia alitumikia taifa vizuri. Makamanda wote ni waumini wa moja kati ya "WWW"
View attachment 3138564