TBC wanaandika Jenerali Musuguri alizaliwa 1920, Mkuu wa Majeshi ameandika katika taarifa rasmi, kwamba Musuguri alizaliwa 1925. TBC mjirekebishe

TBC wanaandika Jenerali Musuguri alizaliwa 1920, Mkuu wa Majeshi ameandika katika taarifa rasmi, kwamba Musuguri alizaliwa 1925. TBC mjirekebishe

Unaona bora uamini mambo ya kufikirika
Jambo la kufikirika ni lile lisilo na uhalisia wakati suala la umri kwa watu wa zamani uhalisia ni kwamba majority umri wa kwenye makaratasi sio sahihi!!
 
TBC sijui ni chombo gani cha habari! Ila ni chombo cha ovyo sana! Wale team mapambio waendee huko waongeze nguvu
 
Wahariri wa TBC siwaelewi, wana access ya Mkuu wa Majeshi, Msemaji wa Jeshi, lakini bado wanakosea. Hata katika taarifa ya habari ya saa moja usiku wa leo, habari inahusu Mkoa wa Mwanza, caption imeandikwa Kigoma.

Anyway, kwa tuliosoma Kyuba, pale palipoandikwa marehemu "ameacha familia" tumeelewa kwamba huko katika sekta ya familia pia alitumikia taifa vizuri. Makamanda wote ni waumini wa moja kati ya "WWW"
View attachment 3138564
Mwaka 2020 waliandika marehemu kusherehekea birth day ya miaka 100
Leo tena MMJ inaandika tofauti!

Nadhani TBC wako sahihi, ila MMJ ndiyo waliolikoroga.
 
Jeshi ndio lina jalada lake akiwa katika ajira, ye ye binafsi ndiye ali-disclose umri wake kwa jeshi
Upo sahihi sana.
Ishu ya umri, vyeti na majina kwa Tanzania ni kichaka kingine kikubwa kinawanufaisha watu!
 
Mwaka 2020 waliandika marehemu kusherehekea birth dayya miaka 100
Leo tena MMJ inaandika tofauti!

Nadhani TBC wako sahihi, ila MMJ ndiyo waliolikoroga.
Hatari sana.
Nimepitia Instagram page ya jeshi wameandika 1920, total contradiction.

Screenshot_20241031-123410.jpg
 
Back
Top Bottom