TBC wanaandika Jenerali Musuguri alizaliwa 1920, Mkuu wa Majeshi ameandika katika taarifa rasmi, kwamba Musuguri alizaliwa 1925. TBC mjirekebishe

Hii TBC ya sasa wameajiri waandishi na watangazaji wenye ufahamu mdogo maadamu wanaona wamepitia vyuo na wana vyeti, ila hawana weledi mkubwa kwa taaluma hiyo
 
Viwango vimeshuka, kila sehemu. Sijui tutafikia kilele cha kushuka lini, ili tuanze kujenga upya. Tusipo bahatika, tutabaki huko huko chini, mithili ya Haiti!
Hatari sana.
Halafu unakuta mpaka Waziri wa Habari anasoma utumbo huo
Kweli hatuna tofauti na Haiti ambao wao wamejichagulia pia maisha kama yetu
 
Si ajabu na si mara ya kwanza kusikia taarifa za mtu aliyewahi kuwa mtumishi serikalini kutofautiana na taarifa za watu wengine. Alichofanya CDF ni kucheki jalada la mstaafu na kilichomo; hakuhitaji kuuliza mtu mwingine kupata historia ya utumishi wa marehemu.
Lakini mwaka 2020 alifanyiwa 'birthday' nyumbani kwake akidaiwa kufikisha miaka 100..!
 
Kuna siku Makamu wa Rais, Dkt Mpango akiwa kwenye sherehe ya Siku ya Misitu Kilimanjaro, waliandika watu bilioni 10 Afrika wanatumia mkaa, nilishangaa sana.
Wakati duniani watu ni bilioni 8.2
Hapo TBC sema kazi ni za kujuana sana.
 
Shida ni CDF kuzaliwa 1920
 
Wengi walipunguza umri
 
Aliwahi kuhojiwa yeye mwenyewe kipindi anasumbuliwa na miguu akasema kazaliwa 1920
 
Mleta mada acha tabia ya kuangalia TV (TBC1) iliyojaa watangazaji wasio na weledi (ndugu na jamaa wa maccm).
 
Marehemu atakuwa alizaliwa mara mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…