TBC watakua mubashra mechi ya Morocco dhidi ya Ufaransa

fullcup

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
809
Reaction score
2,204
Wale wenzangu na Mimi tuandae masikio tukamsikilize Bwana mdogo Nazareth Upete a.k.a team Messi akitangaza mubashara mbungi hii.

Ni saa nne juu ya alama atatuhabarisha. Wale wa DSTV nyie mabosi mtuache na chanel yetu pendwa.
 
TBC
1. Inaumiza macho
2. Watu wapo kama wananyata
3. Haiko clear

Tafuteni hela aisee,, World Cup haionyeshwi Tibisii
 
Wale wenzangu na Mimi tuandae masikio tukamsikilize Bwana mdogo Nazareth Upete a.k.a team Messi akitangaza mubashara mbungi hii.

Ni saa nne juu ya alama atatuhabarisha. Wale wa DSTV nyie mabosi mtuache na chanel yetu pendwa.
Yule mpumba.vu sana, anatanguliza mapenzi anasahau hata miiko ya kazi yake.
 
Yani huyo mtangazaji jana alijitahidi bila kuweka manjonjo ya Messi mwishoni akashindwa akaamua kujiachia hahahah mwanzoni alikua akisema utasikia nikisema nitaambiwa namsifia sana Messi...
La Messi lanbababa labababab lalgentine hawezagi kujikaza akiona mesi anacheza lazima amsifie.
 
Haha jamaa ana mapenzi ya waziwazi kwa Messi. Eti oh nikimtaja Messi mtasema namsifia haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…