johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
TBC leo imerusha kipindi maalumu cha kumuenzi aliyekuwa Msimamizi wa Ujenzi wa Bwawa la Nyerere Injinia Kamuhaba aliyefariki January 19 katika hospitali ya muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Injinia Kamuhaba alikuwa mwafrika wa kwanza nchini kusimamia mradi mkubwa wenye thamani ya zaidi ya tsh 6.6 trillioni.
Rip Kamuhaba.
Maendeleo hayana vyama!
Injinia Kamuhaba alikuwa mwafrika wa kwanza nchini kusimamia mradi mkubwa wenye thamani ya zaidi ya tsh 6.6 trillioni.
Rip Kamuhaba.
Maendeleo hayana vyama!