awesome
Member
- Oct 11, 2010
- 35
- 0
Zamani kiliitwa kipindi cha ''usiku wa habari'' kilichoanzishwa na bwn Muro kabla hajasimamishwa kwa tuhuma za kuomba rushwa kama ilivyoripotiwa na vyombo mblmbl ikiwemo TBC. Sasa kipindi kinajulikana kama ilivyoandikwa hapo juu.
Lakini sijaelewa muktadha mzima wa kipindi hiki bali kuonyesha au kunadi sera za ccm na kuonyesha kiduchu matukio ya vya pinzani. Huu ni utumiaje mbovu wa rasilimali za umma.
Kama tbc, chombo cha umma kinatumika kunadi chama tawala na kuacha vyama pinzani nyuma... hii ni ishara tosha ya kudidimiza democrasia nchini.
Hivi tbc hawana vipindi vya kurusha hewani?, kweli tbc inakera kuitazama, kwanza taarifa ya habari shallow inatangaza habari za dar na ccm tu. Bora ifungwe majengo tufugie bata.
Lakini sijaelewa muktadha mzima wa kipindi hiki bali kuonyesha au kunadi sera za ccm na kuonyesha kiduchu matukio ya vya pinzani. Huu ni utumiaje mbovu wa rasilimali za umma.
Kama tbc, chombo cha umma kinatumika kunadi chama tawala na kuacha vyama pinzani nyuma... hii ni ishara tosha ya kudidimiza democrasia nchini.
Hivi tbc hawana vipindi vya kurusha hewani?, kweli tbc inakera kuitazama, kwanza taarifa ya habari shallow inatangaza habari za dar na ccm tu. Bora ifungwe majengo tufugie bata.