TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

Watarudia kuonyesha kuanzia saa nne usiku baada ya kuhaririwa
 
Ha ha ha ha naona wameanza censorship... hapo zitakua edited ili tusione upuuzi wao!
Kazi ipo
 
Tulishasema Tanzania hakina Demokrasia na kujishau tu hamkutuelewa. Sasa mnaona CCM inakotupeleka?
 
yelewiiiiiiiiiiiiiiiii sasa tutarajie kuona harusi live kwa wingi


hivi itv star na wengine ambao wanajitegemea wanafanyaje aisee hii wizara ni jipu.. badala kufanya ubunifu wapate jinsi ya kutuonyesha jambo hili muhimu kwa taifa wanaleta longolongo piga chini muhusika
 
By the way sikumbuki mara ya mwisho ni lini nimeangalia TBCCM.
Waizime kabisa maana ni hasara kwa Taifa
 
Wananchi kushuhudia wabunge wao ambao ni wawakilishi wao wakipeleka hoja zako na kuisimamia serikali ndio njia pekee inayowawezesha wananchi kuamua kama wabunge wao.wanatimiza wajibu wao kikatiba. Inasikitisha serikali kutoa sababu ya kushindwa kutoa sh.2.5billion kwa mwaka kwa shughuli Hiyo muhimu. Ni sikitiko kuu.
 
Katika kauli za Mawaziri, Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye, ametangaza kwamba, Kuanzia tarehe 26 Januari mwaka 2016, TBC1 haitaonesha tena Mikutano ya bunge live kutokana na gharama za kuonesha live kufikia bilioni nne kwa mwaka.

Badala yake TBC1 watarekodi na kuonesha katika kipindi maalum usiku kuanzia saa nne hadi saa tano.

Hii itanyima wanchi fursa ya kuona kinachoendelea Bungeni.


Safi sana hiki kilikuwa ni kilio changu siku zote, Watu wafanye kazi na waache kuangalia Bunge, mkirudi nyumbani jioni baada yakazi mtaangalia Bunge tani yenu au kama mmechoka hata wkend!

Safi sana W. Nape!
 
Kweli sasa naamini tunaongozwa kidikteta,star tv nao wamesitisha matangazo ya moja kwa moja baada ya zito kutoa hoja nzito ya kusitisha majadiliano ya hotuba ya rais.mlioko bungeni mtujuze kinachoendelea huko
 
sababu nyingine wananchi ndio wametoa huo ushauri, sijui ni wananchi wa north Korea hau wapi!!


Wameamua kutuziba Macho na Masikio wakiwa na lengo la kuendelea kutupumbaza.


Wanasahu kuwa "Information Is Power".
 
U
Hii nayo kali aisee
Nmemsikiliza nkachoka
Tv ya Taifa inashindwa kurusha matangazo ya bunge kweli
Hapana aisee hii serikali yaanza nitia shaka

Aisee inakera Sana,,, mungu anagetuondolea hawa ccm Siku moja,,maana yeye ndo kawaweka, sisi tulisha wakataa katika sanduku la kura
 
Daaah kwel hii ndo hapa kazi tu. Kwahiyo si wangejadili kwa teleconference kama wanaona hiyo ni gharama?
Jaman uchumi sio ubahili bali ni namna ambavyo ni kwa namna gani unapata kipato upande mmoja na namna gani unatumia kwa upande mwingine.
Sasa hata kubana matumizi sio kihivyo mtaacha kulipa mishahara kwa visingizio hivyo
 
So Serikali Imeshindwa Kuendesha Hiyo TBCCCM Yao!!!?? KAMA Ni Hivyo Waiuze Tu Kwa Wawekezaji!!! Au Ni UDA, SIGARA, BIA N.k. Ndio Zenye Wanunuzi!!?? Maana Vyombo BINAFSI Viweze Vp Na Vya SERIKALI Iwe Tatizo Ni Gharama!!!!?? Ndorooobai!!!
 
Back
Top Bottom