Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.
Wapiga kura...
MJ
As a Tanzanian wht do you gain from Serengeti beer/Serenget Brew, jamaa kakuonyesha kwamba the whole management team is Asian...sasa watanzania kazi yao nini pale Serengeti...kubeba crate za beer au?..
And is true the owner of Serengeti is Asian and he's is not investing in Tz,
TBL iko kwenye Stock Market Nenda pale Samora kanunue TBL, serengeti haipo kwenye stock market.
Keep it low if ya dont know.
Mimi ni Mpigiwa kula, hujaelewa nini?[/QUOTE]
Okay.
Kweli uko std VIIB manake hujaelewa kitu pale. Usijali, sekondari za kata zipo nyingi utafaulu. Endelea kusoma marambilimbili, utaelewa tu.
What's the top selling beer in Tanzania...
1.Safari
2.Kilimanjaro
3.Tusker
Waliosoma IST utawajua tuu.
Waliosoma IST utawajua tuu.
MJ mkulu sana,
Achana na mbwiga hao, rudi kwenye thread ya Nobel Peace Prize tuendelee kukata Issues.
Watu hawana data wanamwaga upupu tuu, angalia member wote wa maana hawako kwenye hii thread....waachie wapiga kura.
Adios nakusubiri kule.
Jana nimepita Sunguchini baa Sinza, meneja kawachomolea!
kwikwikwi....lol
Mwananyamala kwa mzimuni Primary Skuli...sasa hivi kala shavu anafanya kazi ya kuuza computer kwa muhindi pale Jamuhuri street....******* akijua kuwa muda wote yuko kwenye mtandao kazi kwisha...
MJ
Sales Representative wa Serengeti brew, Nasikia December mnaongezewa msharaha...piga kazi ndugu labda wahindi watakupa shavu.
MJ
Sales Representative wa Serengeti brew, Nasikia December mnaongezewa msharaha...piga kazi ndugu labda wahindi watakupa shavu.
MJ
Sasa MJ Unazungumziaje Obama kupewa Nobel Peace Prize he guy is only nine month in the office, he hasnt done nothing yet..
Sasa MJ Unazungumziaje Obama kupewa Nobel Peace Prize he guy is only nine month in the office, he hasnt done nothing yet..
Vipi Bado niponipo? Umeingia mitini? Tuendelee na ishu yetu ya Serengeti, make hawa jamaa zako wa TBL wamenishangaza sana, badala ya kuweka effective marketing strategy, wanafanya sabotage kwa wazee wa chui!
Sabotage is the only weapon a looser can think of.
And TBL is truly a sorru bunch of loosers! Corrupt, lazy, inept and stupid. Unapoamua kupoteza pesa kum-sabotage mshindani wako basi ujue uko on the verge of loosing the market! Na huwezi kushinda kamwe.
TBL should have been a great example of how privatization has helped Tanzania kumbe tunaona it is a pinnacle of corruption and sabotage. Watimuliwe SABMIller au wapadilishe menejmenti nzima.