Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.
Wapiga kura...
MJ
MJ mkulu sana,
Achana na mbwiga hao, rudi kwenye thread ya Nobel Peace Prize tuendelee kukata Issues.
Watu hawana data wanamwaga upupu tuu, angalia member wote wa maana hawako kwenye hii thread....waachie wapiga kura.
Adios nakusubiri kule.