Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Imeungua.Picha?
Haya maandishi yamebandikwa kwenye kuta za baa, -2,9°c! Hii inanikumbusha jamaa yangu aliyeomba nimtumie shs. 2,0000/=!Subiri nikakitafute kwanza hicho kifaa ili nisome hayo maandishi
Shida ni hii coma? Coma (,)nchi nyingi tu inawakilisha nukta (.). Hivyo ukitaka kuadika mbili poit mbili uaadika 2,2.TBL tangazo lenu la Castle Light linasema "brewed at -2,9°c"! Sijui hii ni nini, TBL wenzetu mmesoma shule zipi? Mbona mnaifanya Tanzania ionekane ya watu wa kiwango cha chini kielimu, ondoeni hayo matangazo.
Kama hujui mkuu sema ueleweshwe! Swali langu kuu wewe unajua nini juu ya brewing ?TBL tangazo lenu la Castle Light linasema "brewed at -2,9°c"! Sijui hii ni nini, TBL wenzetu mmesoma shule zipi? Mbona mnaifanya Tanzania ionekane ya watu wa kiwango cha chini kielimu, ondoeni hayo matangazo.
Daah! Umelenga kumuelewesha kweli cz haya maelezo naon kam utakuw umemchanganya mtoa mada zaidi ya mwanzoKama hujui mkuu sema ueleweshwe! Swali langu kuu wewe unajua nini juu ya brewing ?
Sasa nitakueleza, wanaposema brewed at -2.9•C wanamaanisha cast out temperature from the whirlpool pale ambapo yeast inapokuwa added. Then fermentation profile follows and finally maturation.
Usikurupuke, soma uelewe nilichokiandika utafeli japo unajua, kwa akili yako -2,9°c ni sawa na -2.9°c? Utafeli kwa kukurupuka ukitegemea unajua.Kama hujui mkuu sema ueleweshwe! Swali langu kuu wewe unajua nini juu ya brewing ?
Sasa nitakueleza, wanaposema brewed at -2.9•C wanamaanisha cast out temperature from the whirlpool pale ambapo yeast inapokuwa added. Then fermentation profile follows and finally maturation.
Usikurupuke, soma uelewe nilichokiandika utafeli japo unajua, kwa akili yako -2,9°c ni sawa na -2.9°c? Utafeli kwa kukurupuka ukitegemea unajua.
Mkato na fullstop ni vitu viwili tofauti sana mathlani 1.0 na 1,0 sijui dunia ya wapi watakuambia ni kitu kimoja kama inavyodai! Sipendi mabishano ya hovyo, wenzako wamekosea wewe unadai ndio utaalamu wa mapishi ya pombe!Inakuchanganya hoyo comma? Get exposed to the world, utaondoa vikanuni vya darasani.
Mkato na fullstop ni vitu viwili tofauti sana mathlani 1.0 na 1,0 sijui dunia ya wapi watakuambia ni kitu kimoja kama inavyodai! Sipendi mabishano ya hovyo, wenzako wamekosea wewe unadai ndio utaalamu wa mapishi ya pombe!