TBL wenzetu mmesoma shule zipi!

TBL wenzetu mmesoma shule zipi!

Nchi ina walevi wengi sana, hebu ona uzi unavyo tembea
 
Kama hujui mkuu sema ueleweshwe! Swali langu kuu wewe unajua nini juu ya brewing ?
Sasa nitakueleza, wanaposema brewed at -2.9•C wanamaanisha cast out temperature from the whirlpool pale ambapo yeast inapokuwa added. Then fermentation profile follows and finally maturation.
Kijana unakurupuka sana... Una elimu ya kukariri madesa...
 
Ila mkuu ukiona upo unakunywa bia bar na umeanza kukagua maandishi, ujue kesho nayo siku kapumzike.
Sisi tunakunywaga tu kama tatizo tutagundua siku ya pili baada ya kupata hangover tofauti.
 
Back
Top Bottom