Shirika la Viwango Tanzania (TBS) yateketeza bidhaa zenye thamani ya takribani Sh Milioni 400 bidhaa hizo hazikidhi Viwango vya ubora na kuisha Muda wake wa matumizi. Kwa upande wa Vipodozi ni vile vyenye viambato sumu zisizofaa kwa matumizi kwa binadamu.
Dk. Kandida P. Shirima (Kaimu Mkurugenzi, Usimamizi na utekelezaji wa Sheria TBS amesema Lengo la TBS kuteketeza bidhaa hizo ni kulinda Afya za watumiaji.
Dk. Kandida amesema bidhaa na Vipodozi hizo zimekamatwa katika Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Morogoro ikiwa sehemu ya utekelezaji wa Majukumu ya TBS kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara .
Hata hivyo bidhaa tunazoteketeza hapa leo katika Tanuru letu la Mkuranga Zina takribani uzito wa tani 9 na zinathamani takribani Sh. Milioni 400.
"Pia niwatake Wananchi kutotumia bidhaa zilizokwisha Muda wake pamoja na kutotumia Vipodozi vyenye viambato Sumu maana ni hatari kwa Afya ya mtumiaji" - Dk. Kandida Shirima.
"Niwaombe wananchi kukagua bidhaa kabla ya kutumia ili kujua Muda wa matumizi pamoja na viambato vilivyotumika kutengeneza bidhaa hizo ili kuwa salama zaidi kwa mtumiaji" - Dk. Kandida Shirima
Dk. Kandida P. Shirima (Kaimu Mkurugenzi, Usimamizi na utekelezaji wa Sheria TBS amesema Lengo la TBS kuteketeza bidhaa hizo ni kulinda Afya za watumiaji.
Dk. Kandida amesema bidhaa na Vipodozi hizo zimekamatwa katika Mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Morogoro ikiwa sehemu ya utekelezaji wa Majukumu ya TBS kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara .
Hata hivyo bidhaa tunazoteketeza hapa leo katika Tanuru letu la Mkuranga Zina takribani uzito wa tani 9 na zinathamani takribani Sh. Milioni 400.
"Pia niwatake Wananchi kutotumia bidhaa zilizokwisha Muda wake pamoja na kutotumia Vipodozi vyenye viambato Sumu maana ni hatari kwa Afya ya mtumiaji" - Dk. Kandida Shirima.
"Niwaombe wananchi kukagua bidhaa kabla ya kutumia ili kujua Muda wa matumizi pamoja na viambato vilivyotumika kutengeneza bidhaa hizo ili kuwa salama zaidi kwa mtumiaji" - Dk. Kandida Shirima