TBT: Ajali ya moto Morogoro (2019), ni lipi la kujifunza?

2019,Monday, August 12,Idd El Adha.
So, tell me what you think.

Siku Ile Waislamu walikuwa wana sherehe.
Nikaenda kwenye kijiwe nikauliza ", Waislamu wanasherehekea nini leo?"
Nikaambiwa,"Idd El Adha,,"
Nikasema,"Oh, what's that?"
Nikaambiwa siku Abraham alipoamriwa kumtoa sadaka mtoto wake.
Basi nikajibu,in my usual careless way,
"Oh,now it is clear to me,Ile ajali mbaya imetokea Morogoro jana,na sasa Waislamu wanasherehekea Idd El Adha. Oh,I understand everything.."
 
Naomba nisiadithie lakini kwa ufupi sana ni kwamba nilipoteza watu wangu wawili wa karibu nikiwaona wanateketea huku sijui nini chakufanya
Mbona nilisikia wengi wao walikuwa mateja pale
 
Hee sijaziona hizi aisee
Ndani ya mwezi huu october 2024 nigeria na uganda wamepotea watu karibia 200 kwa kuchota mafuta.

Umaskini wetu unasababisha watu kutowaza athari zinazoweza kutokea bali kufikiri tu fursa iliyopo mbele yake.
 
Nimejifunza kitu kimoja pesa ya haraka haraka ipo Ila "Kuna aslimia kubwa za kuupoteza uhai mapema" kwa kusaka pesa za haraka maana hapa watu walijua wakiuza mafuta ni pesa ya fasta fasta
2.kuendelea kuomba mwisho mwema
 
Unatonyesha vidonda yani ili tukio nimelishuhudia kwa macho yangu bila kuadithiwa kwakweli huwa sitamani kulikumbuka kabisa
Pole sana mkuu, ni tukio liliotowesha watu wengi uhai na mali. Lkn ni kama halijawahi kutokea nchini. Sijui watu wa fire wanakosaje ubunifu wa kuwa na elimu na kufanya kumbukumbu za matukio mabaya kama haya.
 
Kuna waziri aliulizwa "...umejifunza nini kutokana na hili, akajibu nimejifunza MOTO NI KIBOKO"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…