Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 561
- 1,112
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao majamaa walikuwa wanasumbua akimleta geto sasa atavyovimba utadhani geto lake[emoji38][emoji38]vitoto vya hostel ndo vilikua vinaongoza kuomba mageto ya wana
[emoji1787][emoji1787]ushkaji kaziHao majamaa walikuwa wanasumbua akimleta geto sasa atavyovimba utadhani geto lake[emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana.... mipaka lazima iwepo, tunasaidiana vingine ila geto sitaki na nimeshawaambia kabisaKuna mwana mmoja kipindi tunasoma aisee alikua na videm vyake uchwara karibu kila weekend ananisumbua nimbless geto.bas pasipo iyanya siku nyingine namzingua siku nyingine nampa tu geto.afanye ufuska wake mpaka tukamaliza chuo...ila huwezi kuamini uyo jamaa ndio.alinipa connection ya kazi sasa imagine tungegombana kipindi kile.leo ningekua wapi
Sometimes funika kombe mwanaharam apite
[emoji1787][emoji1787]coment mzeeHata sisi wa DATA STAR COLLEGE TUNARUHUSIWA KU COMMENT HUMU
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hata sisi wa DATA STAR COLLEGE TUNARUHUSIWA KU COMMENT HUMU
nini wewe😂[emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji2][emoji2] Pole kwa yaliyokusibu.nini wewe[emoji23]
[emoji1787][emoji1787]kuna mpuuzi mwingine alikua kanizoea vibaya ilivyofika mda wa kulipa kodi ya miezi mingine sita nikamvutia waya nikamuomba mwana nikopeshe laki 3 imepungua kwenye kodi ila nikipata nakurudishia....mshkaj kaanza kujiganyaga oohh sina sijui nini na nini toka siku iyo yeye mwenyewe tu akaona aibu kuniomba roomUnakuta jamaa unamheshimu kabisa lakini ndiyo anakupa hiyo hoja ya hovyo.
Dahh! Unampa gheto kishingo upande.
ShadeeyaHata ungekuwa wewe usinge ongeza mkataba na Yanga View attachment 2661309
Naomba tu kuuliza hivi wale wakaka mlikua mgongea mageto yetu mnakuja kuomba mageto yetu mfanye uzinzi wenu na vimalaya vyenu
Hivi vile videm vyenu vilikua vinajua umegongea geto au unakidanganya apa kwanguNaona umetumiss sio...
Huyu ulikulwa kwenye geto la kuazima[emoji2][emoji2][emoji2]