TBT enzi za chuo kikuu

TBT enzi za chuo kikuu

Kuna mwana mmoja kipindi tunasoma aisee alikua na videm vyake uchwara karibu kila weekend ananisumbua nimbless geto.bas pasipo iyanya siku nyingine namzingua siku nyingine nampa tu geto.afanye ufuska wake mpaka tukamaliza chuo...ila huwezi kuamini uyo jamaa ndio.alinipa connection ya kazi sasa imagine tungegombana kipindi kile.leo ningekua wapi


Sometimes funika kombe mwanaharam apite
hapana.... mipaka lazima iwepo, tunasaidiana vingine ila geto sitaki na nimeshawaambia kabisa
 
Unakuta jamaa unamheshimu kabisa lakini ndiyo anakupa hiyo hoja ya hovyo.
Dahh! Unampa gheto kishingo upande.
[emoji1787][emoji1787]kuna mpuuzi mwingine alikua kanizoea vibaya ilivyofika mda wa kulipa kodi ya miezi mingine sita nikamvutia waya nikamuomba mwana nikopeshe laki 3 imepungua kwenye kodi ila nikipata nakurudishia....mshkaj kaanza kujiganyaga oohh sina sijui nini na nini toka siku iyo yeye mwenyewe tu akaona aibu kuniomba room
 
Hata ungekuwa wewe usinge ongeza mkataba na Yanga
Screenshot_20230618_121024.jpg
 
Back
Top Bottom