TBT: Kati ya P Funk, Mikka Mwamba, Master J na Bony Luv, Mtayarishaji gani alikuvutia kwenye kazi zake enzi hizo?

TBT: Kati ya P Funk, Mikka Mwamba, Master J na Bony Luv, Mtayarishaji gani alikuvutia kwenye kazi zake enzi hizo?

DJ Bonny Luv(kushoto) akiwa na Ahmir Khalib Thompson aka QuestLove Drumer kutoka kundi la The Roots.QuestLove ni DJ,Producer,mwandishi wa muziki nk.Miongoni mwa artist maarufu ambao amewahi kuwarekodi ni kama vile Common na D’Angelo. Usisahau kwamba Bonny Luv ni Producer hatari akifanya kazi zake chini ya lebo ya Mawingu Studio.

Dj huyo ambaye alilelewa kwenye maisha yenye maadili ya dini huku mama yake akiwa ni mwana kwaya kanisani, alijitahidi kupigania muziki wa bongo fleva wakati unaanza nchini Tanzania, kwa kuwashika mkono wasanii mbali mbali, mpaka kufikia hatua ya kuwa wasanii wakubwa na kuitangaza bongo fleva.

Dj Bony Love, ametumia zaidi ya miaka 31 katika maisha yake katika tasnia ya muziki ikiwemo u-Dj na uandaaji wa muziki (producer), tangu bongo fleva inazaliwa na kuweza kusimama.

Dj Bonny Love alitumia muda, akili na nguvu zake katika kuinua sanaa ya Tanzania, kwa kutafuta wasanii na kuwapa fursa ya kurekodi bure, huku wasanii wengi wakubwa kwenye game ya bongo fleva wamepitia mikononi mwake, wakiwemo Juma Nature ambaye ndiye msanii anayesimama kama icon ya muziki wa bongo fleva, King Crazy Gk, mwana FA, Ay na wengineo.

Pia Dj Bonny love ni kaka wa maDj wakubwa wawili hapa bongo, wakiwemo Dj Venture na Dj Mackay. Tazama historia yake hapa chini

View attachment 3039381

P Funk Majani
Paul Matthysse (maarufu kama P Funk, Halfani, Majani, Kinywele Kimoja, Mkono wa Mungu) ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. Anaaminiwa na wengi kuwa ndiye mtayarishaji bora wa muda wote wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.

P Funk ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati bado yupo shule IST (International School Of Tanganyika). Alikuwa mtundu kwenye studio za pale shule kupigapiga midundo mbalimbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye pati mbalimbali na hapo alikuwa kupenda sana muziki kwa ujumla.

View attachment 3039386

Joachim Marunda Msaafiri Kimaryo maarafu kama ‘Master J’ anatoka katika familia ya Watoto wawili , yeye akiwa wa kwanza na ana mdogo wa kike.

Kama mtayarishaji wa muziki hodari nchini Tanzania na mmiliki wa studio ya Muziki ya MJ Records, Master J amefanya kazi na kukuza vipaji vya wasanii wengi sana Tanzania.

Tangu mwaka wa 2007, Master J amekalia kiti cha mmoja wa majaji katika mashidano ya Bongo Star Search, ‘BSS’.

Kipindi hicho maarufu hakikuweza kutambulika peke yake bila ya Master J.

Kabla ya kukomaa kama producer mkuu nchini Tanzania, Master J amepitia mengi katika maisha yake binafsi na familia .

Master J akiwa mdogo ndoto yake kubwa ilikuwa kuwa rubani. Kutokana na utundu kupita kiasi Master J hakuwa anafanya vizuri darasani , mpaka pale walipo hamia Botswana.

Ndoto yake ili balilika wakati alikuwa huko huko shuleni ulaya aligundua anapenda sana ubunifu kuliko kitu kingine . na hapo ndipo alipo anzia kupenda kutayarisha muziki.

Mtu wa kwanza ktambulisha katika maswala ya muziki alikua mwanafunzi mwenzie Owen Shahada kutoka nchi ya Barbados ambaye alimfunza kucheza gitaa na kibodi.

Alirejea nyumbani mwaka wa 1996 na kufungua studio yake na kurekodi wimbo wake wa kwanza na bendi ya ‘the diplomats’.

Wakati Joseph Kusaga alipofungua kituo cha redio ilibidi Master J atafute njia mbadala ya kuwasilisha kazi zake kwenye jamii . Alijitahidi kuhamia mfumo wa digitali wa kurekodi.


Miikka Aleksanteri Kari (anafahamika zaidi kwa jina lake la kitayarishaji kama Miikka Mwamba; amezaliwa Helsinki, Ufini, 16 Oktoba 1971) ni mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti toka nchini Ufini-Tanzania. Miikka Mwamba ni mtayarishaji mashuhuri sana kwa nchi ya Tanzania, na ameweza kujibebea umaarufu mkubwa sana nchini Tanzania kunako miaka ya 2000.

Jina lake ni Miikka Kari, ila Kari alibadili iwe kwa Kiswahili na tafsiri yake ni Mwamba, hivyo aliamua kujiita Miikka Mwamba

Miikka aliwahi kufanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchini Tanzania. Wasanii hao ni: Dully Sykes, Inspector Haroun, Lady Jay Dee, Mad Ice, Chegge, Mandojo na Domo Kaya, Solid Ground Family, Complex, Zahrani (maarufu kama Big Punisher wa Bongo), Only Face, Dknob na wengine wengi wa kutoka Tanzania.

Miikka alihitimu elimu yake ya msingi na sekondari Lohja, ambacho ni chuo cha sanaa (Torkkelin kuvataidelukio) alisomea Helsinki, na shahada ya uzamili (MA) alipata Theatre Academy of Finland, Dept. of Light and Sound Design.

Nyimbo zilizotamba
Julieta - Dully Sykes (2000)
Athumani Mlevi - Solid Ground Family (2001)
Baby Gal - Mad Ice (2002)
Tupa Mawe - Zahrani na Complex (2001)
Twenzetu - Chegge, Ferouz na Mh Temba (2005)
Elimu Mitaani.com - Dknob (2003)
Kitu Gani - Dknob (2007)
Tamara + ni wewe - Hard Mad
Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)
Nakupenda Mpenzi - Dudu Baya
get down - Prezo ft Naziz (Kenya)
Twenzetu - Chege
Baby Gal + wange - Mad Ice
Maria Salome - Saida Karoli
Kamanda + barua - Daz Nundaz
wanoknok + Taswira + dingi - Mandojo na domokaya
Picco - Kikongwe
Kwenye Chati - Balozi
Mtoto wa geti kali - Inspector Haroun
Elimu mtaani + sauti ya gharama - D knob
Mkiwa - K sal ft Ferooz
Salome + Julieta + Hi - Dully Sykes
Raha tu - AY
Mambo vipi - Mchizi Mox
Solid Ground Family - Bush party
Wote wakali ila Mika alikuwa Jini jamaa alikuwa anachafua kila mdundo kuanzia Hiphop, Dansi, bolingo mpaka Segere sijafuatilia tu vizuri nahisi hata Kwaya ashawahi kufumua


Mika Mwamba ni habari nyingine kabisa
 
Kipindi hicho mziki ulikuwa mziki. Yuko wapi mwamba

Said Comorien ?​

 
DJ Bonny Luv(kushoto) akiwa na Ahmir Khalib Thompson aka QuestLove Drumer kutoka kundi la The Roots.QuestLove ni DJ,Producer,mwandishi wa muziki nk.Miongoni mwa artist maarufu ambao amewahi kuwarekodi ni kama vile Common na D’Angelo. Usisahau kwamba Bonny Luv ni Producer hatari akifanya kazi zake chini ya lebo ya Mawingu Studio.

Dj huyo ambaye alilelewa kwenye maisha yenye maadili ya dini huku mama yake akiwa ni mwana kwaya kanisani, alijitahidi kupigania muziki wa bongo fleva wakati unaanza nchini Tanzania, kwa kuwashika mkono wasanii mbali mbali, mpaka kufikia hatua ya kuwa wasanii wakubwa na kuitangaza bongo fleva.

Dj Bony Love, ametumia zaidi ya miaka 31 katika maisha yake katika tasnia ya muziki ikiwemo u-Dj na uandaaji wa muziki (producer), tangu bongo fleva inazaliwa na kuweza kusimama.

Dj Bonny Love alitumia muda, akili na nguvu zake katika kuinua sanaa ya Tanzania, kwa kutafuta wasanii na kuwapa fursa ya kurekodi bure, huku wasanii wengi wakubwa kwenye game ya bongo fleva wamepitia mikononi mwake, wakiwemo Juma Nature ambaye ndiye msanii anayesimama kama icon ya muziki wa bongo fleva, King Crazy Gk, mwana FA, Ay na wengineo.

Pia Dj Bonny love ni kaka wa maDj wakubwa wawili hapa bongo, wakiwemo Dj Venture na Dj Mackay. Tazama historia yake hapa chini

View attachment 3039381

P Funk Majani
Paul Matthysse (maarufu kama P Funk, Halfani, Majani, Kinywele Kimoja, Mkono wa Mungu) ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. Anaaminiwa na wengi kuwa ndiye mtayarishaji bora wa muda wote wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.

P Funk ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati bado yupo shule IST (International School Of Tanganyika). Alikuwa mtundu kwenye studio za pale shule kupigapiga midundo mbalimbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye pati mbalimbali na hapo alikuwa kupenda sana muziki kwa ujumla.

View attachment 3039386

Joachim Marunda Msaafiri Kimaryo maarafu kama ‘Master J’ anatoka katika familia ya Watoto wawili , yeye akiwa wa kwanza na ana mdogo wa kike.

Kama mtayarishaji wa muziki hodari nchini Tanzania na mmiliki wa studio ya Muziki ya MJ Records, Master J amefanya kazi na kukuza vipaji vya wasanii wengi sana Tanzania.

Tangu mwaka wa 2007, Master J amekalia kiti cha mmoja wa majaji katika mashidano ya Bongo Star Search, ‘BSS’.

Kipindi hicho maarufu hakikuweza kutambulika peke yake bila ya Master J.

Kabla ya kukomaa kama producer mkuu nchini Tanzania, Master J amepitia mengi katika maisha yake binafsi na familia .

Master J akiwa mdogo ndoto yake kubwa ilikuwa kuwa rubani. Kutokana na utundu kupita kiasi Master J hakuwa anafanya vizuri darasani , mpaka pale walipo hamia Botswana.

Ndoto yake ili balilika wakati alikuwa huko huko shuleni ulaya aligundua anapenda sana ubunifu kuliko kitu kingine . na hapo ndipo alipo anzia kupenda kutayarisha muziki.

Mtu wa kwanza ktambulisha katika maswala ya muziki alikua mwanafunzi mwenzie Owen Shahada kutoka nchi ya Barbados ambaye alimfunza kucheza gitaa na kibodi.

Alirejea nyumbani mwaka wa 1996 na kufungua studio yake na kurekodi wimbo wake wa kwanza na bendi ya ‘the diplomats’.

Wakati Joseph Kusaga alipofungua kituo cha redio ilibidi Master J atafute njia mbadala ya kuwasilisha kazi zake kwenye jamii . Alijitahidi kuhamia mfumo wa digitali wa kurekodi.


Miikka Aleksanteri Kari (anafahamika zaidi kwa jina lake la kitayarishaji kama Miikka Mwamba; amezaliwa Helsinki, Ufini, 16 Oktoba 1971) ni mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti toka nchini Ufini-Tanzania. Miikka Mwamba ni mtayarishaji mashuhuri sana kwa nchi ya Tanzania, na ameweza kujibebea umaarufu mkubwa sana nchini Tanzania kunako miaka ya 2000.

Jina lake ni Miikka Kari, ila Kari alibadili iwe kwa Kiswahili na tafsiri yake ni Mwamba, hivyo aliamua kujiita Miikka Mwamba

Miikka aliwahi kufanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchini Tanzania. Wasanii hao ni: Dully Sykes, Inspector Haroun, Lady Jay Dee, Mad Ice, Chegge, Mandojo na Domo Kaya, Solid Ground Family, Complex, Zahrani (maarufu kama Big Punisher wa Bongo), Only Face, Dknob na wengine wengi wa kutoka Tanzania.

Miikka alihitimu elimu yake ya msingi na sekondari Lohja, ambacho ni chuo cha sanaa (Torkkelin kuvataidelukio) alisomea Helsinki, na shahada ya uzamili (MA) alipata Theatre Academy of Finland, Dept. of Light and Sound Design.

Nyimbo zilizotamba
Julieta - Dully Sykes (2000)
Athumani Mlevi - Solid Ground Family (2001)
Baby Gal - Mad Ice (2002)
Tupa Mawe - Zahrani na Complex (2001)
Twenzetu - Chegge, Ferouz na Mh Temba (2005)
Elimu Mitaani.com - Dknob (2003)
Kitu Gani - Dknob (2007)
Tamara + ni wewe - Hard Mad
Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)
Nakupenda Mpenzi - Dudu Baya
get down - Prezo ft Naziz (Kenya)
Twenzetu - Chege
Baby Gal + wange - Mad Ice
Maria Salome - Saida Karoli
Kamanda + barua - Daz Nundaz
wanoknok + Taswira + dingi - Mandojo na domokaya
Picco - Kikongwe
Kwenye Chati - Balozi
Mtoto wa geti kali - Inspector Haroun
Elimu mtaani + sauti ya gharama - D knob
Mkiwa - K sal ft Ferooz
Salome + Julieta + Hi - Dully Sykes
Raha tu - AY
Mambo vipi - Mchizi Mox
Solid Ground Family - Bush party
P funk ukiachilia kuwalazimisha wasanii walioenda studio kwake kutoa ngoma kuvuta mibangi alikuwa vizuri na beat nzuri zenye vina haswa..
 
DJ Bonny Luv(kushoto) akiwa na Ahmir Khalib Thompson aka QuestLove Drumer kutoka kundi la The Roots.QuestLove ni DJ,Producer,mwandishi wa muziki nk.Miongoni mwa artist maarufu ambao amewahi kuwarekodi ni kama vile Common na D’Angelo. Usisahau kwamba Bonny Luv ni Producer hatari akifanya kazi zake chini ya lebo ya Mawingu Studio.

Dj huyo ambaye alilelewa kwenye maisha yenye maadili ya dini huku mama yake akiwa ni mwana kwaya kanisani, alijitahidi kupigania muziki wa bongo fleva wakati unaanza nchini Tanzania, kwa kuwashika mkono wasanii mbali mbali, mpaka kufikia hatua ya kuwa wasanii wakubwa na kuitangaza bongo fleva.

Dj Bony Love, ametumia zaidi ya miaka 31 katika maisha yake katika tasnia ya muziki ikiwemo u-Dj na uandaaji wa muziki (producer), tangu bongo fleva inazaliwa na kuweza kusimama.

Dj Bonny Love alitumia muda, akili na nguvu zake katika kuinua sanaa ya Tanzania, kwa kutafuta wasanii na kuwapa fursa ya kurekodi bure, huku wasanii wengi wakubwa kwenye game ya bongo fleva wamepitia mikononi mwake, wakiwemo Juma Nature ambaye ndiye msanii anayesimama kama icon ya muziki wa bongo fleva, King Crazy Gk, mwana FA, Ay na wengineo.

Pia Dj Bonny love ni kaka wa maDj wakubwa wawili hapa bongo, wakiwemo Dj Venture na Dj Mackay. Tazama historia yake hapa chini

View attachment 3039381

P Funk Majani
Paul Matthysse (maarufu kama P Funk, Halfani, Majani, Kinywele Kimoja, Mkono wa Mungu) ni mtayarishaji wa muziki na pia mmiliki wa Studio ya Bongo Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Tanzania. Anaaminiwa na wengi kuwa ndiye mtayarishaji bora wa muda wote wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.

P Funk ambaye ni nusu Mtanzania na nusu Mdachi, kama miaka ishirini iliyopita alikuwa na hisia za kupendelea muziki na pindi hadi kuamua kufanya kweli kuvutiwa kwake kupenda muziki ndio chanzo kikubwa kilichopelekea kufanikiwa katika muziki.

Kwenye miaka 1991-92 wakati bado yupo shule IST (International School Of Tanganyika). Alikuwa mtundu kwenye studio za pale shule kupigapiga midundo mbalimbali ya hapa na pale na kufoka-foka(Rap music) na pia alikuwa mbele sana kwa kupiga muziki kwenye pati mbalimbali na hapo alikuwa kupenda sana muziki kwa ujumla.

View attachment 3039386

Joachim Marunda Msaafiri Kimaryo maarafu kama ‘Master J’ anatoka katika familia ya Watoto wawili , yeye akiwa wa kwanza na ana mdogo wa kike.

Kama mtayarishaji wa muziki hodari nchini Tanzania na mmiliki wa studio ya Muziki ya MJ Records, Master J amefanya kazi na kukuza vipaji vya wasanii wengi sana Tanzania.

Tangu mwaka wa 2007, Master J amekalia kiti cha mmoja wa majaji katika mashidano ya Bongo Star Search, ‘BSS’.

Kipindi hicho maarufu hakikuweza kutambulika peke yake bila ya Master J.

Kabla ya kukomaa kama producer mkuu nchini Tanzania, Master J amepitia mengi katika maisha yake binafsi na familia .

Master J akiwa mdogo ndoto yake kubwa ilikuwa kuwa rubani. Kutokana na utundu kupita kiasi Master J hakuwa anafanya vizuri darasani , mpaka pale walipo hamia Botswana.

Ndoto yake ili balilika wakati alikuwa huko huko shuleni ulaya aligundua anapenda sana ubunifu kuliko kitu kingine . na hapo ndipo alipo anzia kupenda kutayarisha muziki.

Mtu wa kwanza ktambulisha katika maswala ya muziki alikua mwanafunzi mwenzie Owen Shahada kutoka nchi ya Barbados ambaye alimfunza kucheza gitaa na kibodi.

Alirejea nyumbani mwaka wa 1996 na kufungua studio yake na kurekodi wimbo wake wa kwanza na bendi ya ‘the diplomats’.

Wakati Joseph Kusaga alipofungua kituo cha redio ilibidi Master J atafute njia mbadala ya kuwasilisha kazi zake kwenye jamii . Alijitahidi kuhamia mfumo wa digitali wa kurekodi.


Miikka Aleksanteri Kari (anafahamika zaidi kwa jina lake la kitayarishaji kama Miikka Mwamba; amezaliwa Helsinki, Ufini, 16 Oktoba 1971) ni mtayarishaji wa muziki na mhandisi wa sauti toka nchini Ufini-Tanzania. Miikka Mwamba ni mtayarishaji mashuhuri sana kwa nchi ya Tanzania, na ameweza kujibebea umaarufu mkubwa sana nchini Tanzania kunako miaka ya 2000.

Jina lake ni Miikka Kari, ila Kari alibadili iwe kwa Kiswahili na tafsiri yake ni Mwamba, hivyo aliamua kujiita Miikka Mwamba

Miikka aliwahi kufanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchini Tanzania. Wasanii hao ni: Dully Sykes, Inspector Haroun, Lady Jay Dee, Mad Ice, Chegge, Mandojo na Domo Kaya, Solid Ground Family, Complex, Zahrani (maarufu kama Big Punisher wa Bongo), Only Face, Dknob na wengine wengi wa kutoka Tanzania.

Miikka alihitimu elimu yake ya msingi na sekondari Lohja, ambacho ni chuo cha sanaa (Torkkelin kuvataidelukio) alisomea Helsinki, na shahada ya uzamili (MA) alipata Theatre Academy of Finland, Dept. of Light and Sound Design.

Nyimbo zilizotamba
Julieta - Dully Sykes (2000)
Athumani Mlevi - Solid Ground Family (2001)
Baby Gal - Mad Ice (2002)
Tupa Mawe - Zahrani na Complex (2001)
Twenzetu - Chegge, Ferouz na Mh Temba (2005)
Elimu Mitaani.com - Dknob (2003)
Kitu Gani - Dknob (2007)
Tamara + ni wewe - Hard Mad
Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)
Nakupenda Mpenzi - Dudu Baya
get down - Prezo ft Naziz (Kenya)
Twenzetu - Chege
Baby Gal + wange - Mad Ice
Maria Salome - Saida Karoli
Kamanda + barua - Daz Nundaz
wanoknok + Taswira + dingi - Mandojo na domokaya
Picco - Kikongwe
Kwenye Chati - Balozi
Mtoto wa geti kali - Inspector Haroun
Elimu mtaani + sauti ya gharama - D knob
Mkiwa - K sal ft Ferooz
Salome + Julieta + Hi - Dully Sykes
Raha tu - AY
Mambo vipi - Mchizi Mox
Solid Ground Family - Bush party
I wonder MwanaFA hadi sasa haja-show up recognition na appreciation kwa Bon luv hadi sasa akiwa kwenye top position ya sanaa Tanzania. Wisely alitakiwa amefanya hivi mapema sana. Bon luv is a hero kwenye Tasnia ya muzik Bongo, he better should be cognized kbl ya kuanza kutamka ikiwa hatunae! I repect Bon, i respect Kusaga and Clouds Media kwa airtime and recignition of all gud thing kwenye Bongo!
Binafsi kuna watu wawili ambao whatever wanafanya kazi i won't regrect kuungana nao; Bon luv 2 John Dillinga. Wanao mchango mkubwa kwa tasnia hii ya bongo fleva.
 
Sema ninachowakubali hawa ma legend wote, ilikuwa ni uwezo waliouonyesha katika kiindi teknolojia ilikua duni, mtu anatumia floppy disk yenye 1.44 MB ndio flash, wakati wa CDs, Software zenyewe kupata ilikuwa shida hata access ya internet ni shida, software zenyewe walizotumia zilikuwa duni.

Walikua wanatumia tape recorder, kwa hio kama wasanii mpo watatu au zaidi mnaimba, mnajipanga mstari huku tape recorder inatembea, hivyo usikosee hata neno moja unapoimba, ukikosea mnaanza mwanzo, bila kusahahu joto la studio kipindi hiko hakuna hata AC, kukuta wasanii wamevua mashati ni kawaida.
640px-Akai_GX_635D_-_edit.jpg


Leo hii kuna softwares za kila aina, sauti unaiona kwenye waveform, unaweza edit unayotaka, effects zote zipo.

247233-extra-large.png



Jamaa walifanya kazi ya ziada, kama ni mziki waliujua.
Mzee wa Tehran inaonekana haya madude unayapata vyema sana.

Jamaa walikuwa vipaji asee.
 
Nashindwa kusema yupi mkali kutokana kwamba Kila producer alikua ana ladha na midundo unique, lakini nikisikiliza Ngoma kama Kama unataka demu- Jay Moe, Nini mnataka- Pig Black, naishia kusema P funky ni Bora kuliko wote.. jamaa alikua mtu sana na ndo maana kura nyingi zinamwangukia yeye...
 
Kila jambo nalofanya unaona Halifai baby gal, Baby nifanyeje,nifanye jambo gani uelewe nifanye jambo gani nikulizishe.....aisee Mika Mwamba alikuwa mwamba kwelikweli vinanda vilivyotumika ktk intro siyo mchezo
Bila shaka unaiongelea ile remix (R&B version) maana mixing ya mle hata leo hii bado ni ya kisasa..yaani ilikua ahead of time
 
Kila mmoja alinivutia kwa ngoma fulani.
Pfunk ngoma kibao za akina jay mo, nature n.k
Bon luv ngoma ya mabinti famu damu na nyingi kibao
Master jay ngoma kibao za mike t na nyingine kibao.
Halafu mkuu ngoma ya raha tu aligonga marehemu complex
Hapana mkuu, ngoma ya AY Raha Tu aliifanya Mikka Mwamba na ikawa kwenye compilation ya track za Mikka Mwamba kama Mdundiko (Mambo Jambo), Usiniache (D Knob ft Mez B), Fikiria (Mez B).

Kwenye Raha tu AY aliimba peke yake lakini baadae akafanya Raha tu Remix kwa P Funk (Bongo records) ndio akaimba na Complex. Complex production rasmi alianza mwaka 2005 mwanzoni kwa kufanya ngoma kama Nyeti (wagosi wa kaya), unanitega (FA ft Noorah), Siku nzuri (Dan Msimamo), Nilikaona Mwaka jana (Soggy)

Hii ni Raha Tu Original (Mikka) 👇🏿

View: https://youtu.be/Hw_rp0xIoz0?si=3DGJsldau1KBhuMp

Hii ni Raha tu Remix (P Funk)👇🏿

View: https://youtu.be/tbX02ku4JLM?si=owPGkeyMNvTLrNMa
 
Huyu mzungu (Mika) aliwezaje kutengeneza ngoma ya asili Maria Salome, yani mule zinapigwa ngoma za asili kabisa au maisha yake kabla alizaliwa mzaramo?
Jamaa unaambiwa alikua hajui hata Kiswahili vizuri, yeye anakusikiliza na anajua nini aandae kikufae. Ikiwa nyimbo ya kusikitika inatoka ya kusikitika kweli kama vile Kamanda (Daz Nundaz), Mkiwa (K Sal) na ikiwa ya ku-party inakua inaamsha kwelikweli ndio kama Enno Mic (Ziggy D), Mpenzi (Dudubaya), Chacha (ManDojo na Domo Kaya). Alivyorudi 2003 alitengeneza ile ngoma ya Mambo Jambo - tumerudi tena kaeni mkao wa kula, ni kiasili flani.

Hata baby gal original ya Mad Ice alitumia marimba instrument na ngoma ikawa na uasili asili hivi
 
Hapana mkuu, ngoma ya AY Raha Tu aliifanya Mikka Mwamba na ikawa kwenye compilation ya track za Mikka Mwamba kama Mdundiko (Mambo Jambo), Usiniache (D Knob ft Mez B), Fikiria (Mez B).

Kwenye Raha tu AY aliimba peke yake lakini baadae akafanya Raha tu Remix kwa P Funk (Bongo records) ndio akaimba na Complex. Complex production rasmi alianza mwaka 2005 mwanzoni kwa kufanya ngoma kama Nyeti (wagosi wa kaya), unanitega (FA ft Noorah), Siku nzuri (Dan Msimamo), Nilikaona Mwaka jana (Soggy)

Hii ni Raha Tu Original (Mikka) 👇🏿

View: https://youtu.be/Hw_rp0xIoz0?si=3DGJsldau1KBhuMp

Hii ni Raha tu Remix (P Funk)👇🏿

View: https://youtu.be/tbX02ku4JLM?si=owPGkeyMNvTLrNMa

Mkuu just kuweka record straignt, umesema kuwa complex alianza production mwaka 2005, ina maana alianza production mwaka huo huo aliofariki. Historia fupi ya complex :
Miaka 19 imepita tangu kifo chao Simon sai au complex na Vivian tilya au viv.wawili hawa mmoja alikuwa producer na mwanamziki hapa namzungumzia complex aliyekuwa katika studio za aigies record na baadae kuhamia backyard record wakati huo Vivian alikuwa mtangazaji wa clouds f.m. wawili hawa walikutanishwa na A.y .kisa Cha kukutana nakuwa wapenzi Kiko hiv Vivian alifahamiana na A.y iringa kipind A.y anasoma ifunda na Vivian alikuwa anasoma mkwawa..A.y baada ya school alikuja kukutana na Vivian Arusha alipoenda kwenye show akamshawish Vivian kwa muonekano wake awe mtangazaji. Vivian akaelewa mchongo akakutanishwa na Gardener G habash pale clouds akapewa mchongo wa utangazaji.simon sai a.k.a complex alikuwa anafanya kazi na A.y Kuna ngoma walishirikishana kiufupi walikuwa maswahiba wakubwa baada ya kufahamiana.simon sai a.k. complex akamuona Vivian pale clouds kupitia A.Y akatokea kumpenda vivian.kwakuwa Vivian na complex wote walikuwa marafiki wa A.Y basi A.y akarahisisha wawili hawa kuwa karibu. Baada ya hapo kilichofuata nikuibuka kwa penzi zito kati ya complex na viv..mahusihano Yao yalianza miaka ya 2000 kufika 2005 august 21
 
Mkuu just kuweka record straignt, umesema kuwa complex alianza production mwaka 2005, ina maana alianza production mwaka huo huo aliofariki. Historia fupi ya complex :
Miaka 19 imepita tangu kifo chao Simon sai au complex na Vivian tilya au viv.wawili hawa mmoja alikuwa producer na mwanamziki hapa namzungumzia complex aliyekuwa katika studio za aigies record na baadae kuhamia backyard record wakati huo Vivian alikuwa mtangazaji wa clouds f.m. wawili hawa walikutanishwa na A.y .kisa Cha kukutana nakuwa wapenzi Kiko hiv Vivian alifahamiana na A.y iringa kipind A.y anasoma ifunda na Vivian alikuwa anasoma mkwawa..A.y baada ya school alikuja kukutana na Vivian Arusha alipoenda kwenye show akamshawish Vivian kwa muonekano wake awe mtangazaji. Vivian akaelewa mchongo akakutanishwa na Gardener G habash pale clouds akapewa mchongo wa utangazaji.simon sai a.k.a complex alikuwa anafanya kazi na A.y Kuna ngoma walishirikishana kiufupi walikuwa maswahiba wakubwa baada ya kufahamiana.simon sai a.k. complex akamuona Vivian pale clouds kupitia A.Y akatokea kumpenda vivian.kwakuwa Vivian na complex wote walikuwa marafiki wa A.Y basi A.y akarahisisha wawili hawa kuwa karibu. Baada ya hapo kilichofuata nikuibuka kwa penzi zito kati ya complex na viv..mahusihano Yao yalianza miaka ya 2000 kufika 2005 august 21
Yeah, kwa maana ya yeye kuwa produsa kabisa na ngoma kuachiwa kwa credits zake ilikua ni hiyo 2005, alidumu kwa muda mfupi sana, na alikuwa anakuja kwa kasi sana.

Lakini inamaanisha kuwa alikuwa anajifunza na kugusa gusa kazi za wasanii kwa miaka ya nyuma kabla ya yeye kukabidhiwa jiko rasmi.
 
Back
Top Bottom