Pole sana, JF inaficha mengi sana. Yaani leo hii tukikutana members wa JF hutachukua muda kunigundua maana nitakuwa mwenyewe muda wote.Kuhusu kuwa introvert hilo jambo nalikubali kabisa na nishajikubali jinsi nilivyo
Watu wachache nliowazoea wanadai we jamaa mbona mcheshi hivi na kwa nini hutaki mazoea na watu wengi
Anyway jf ndo sehemu pekee ninayoweza kuongea sana ani
Fb insta kote nna akaunti ila sijawahi post hata mara moja
Mafanikio yangu yote ni kimya kimya ani
Mi hii tabia mkuu sidhani kama ntaweza kuiacha maana nmekua nayo
Sijui labda mzee alinikuza vibaya maana ilkua nikitoka shule ni library ama kulala kila nyumba alkua akijenga lazima aweke library
Naingia library nakaa huko nachor chora vikatuni natoka naenda kucheki katuni nalala
Yaani labda ndo sababu muda wa kucheza na wenzangu ulkua mdogo sana
Mwalim akija class bila pen anauliza nani ana pen mbili darasa "Jay" mimi huyo sasa. [emoji28][emoji28] Nampelekea compas Mwalimu achague anayo taka.N
Nmeiba snaa pen aisee
Enzi hizo tunatumia vioo kuchungulia chupi za kina aisha
Wewe natamani tungesoma shule moja nikuoneshe wizi ulivyo. [emoji28]Mwalim akija class bila pen anauliza nani ana pen mbili darasa "Jay" mimi huyo sasa. [emoji28][emoji28] Nampelekea compas Mwalimu achague anayo taka.
Sikuwahi wachungulia wasichana kabisa mbali na kuiba pen ilikua mimi na mpira.
Zote umo umoNa zilizoisha humo humo.[emoji23][emoji23][emoji23]
It's good you are aliveHii haujaitolea maelezo mazuri.
Wanaume baada ya kukosa mnachokitaka huwa mnakikashifu kwa kujidai "sizitaki mbichi hizi"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Aiseee.Neno compas nimeikuta seko, msingi ni MKEBE.. unakuta nina mkebe umejaa peni ila zinazoandika vizuri ni moja zilizobaki zinagoma au haziandiki ila zimejaa wino
Mwalim :Nani anataka kuwa Kama chitemo.Ahaaaa chitemo mimi masikini uvivu wangu nyumban raha sana
[emoji23][emoji23] mimi kuna teacher alikuwa ananiagiza agiza ovyo ni wa kike kuna siku akanipa hela kubwa kidogo nimfutie kitu dukani sikurudi nikawa mtoro na shule kwa mda wa two weeks.Shuleni tulikuwa tunashindana wizi wa vitu. Yaani ilitakiwa utumie akili uingie darasa lingine uibe na urudi na kitu darasa kwenu uoneshe wenzako kuwa umeiba darasa fulani.
Sasa vijana tukajifanya Scofield na kuanza kutumia akili na kweli wengi wao walifanikiwa mimi nawachora tu. Siku moja nikawaambia mimi siwezi kuiba humu madarasani kwa sababu hakuna mwanafunzi ataweza kuruka mtego wangu.
Mchana nikazama ofisini kwa Headmaster nikampa stori nyingi za uongo na kweli akaanza kukenua meno anacheka kumbe mimi nataka nitoke na kitu chochote ofisini kwake nikawaoneshe darasani. Kama dakika 5 mzee akajaa kwenye 18 nikapiga kalamu yake nyekundu nikamuaga Mwl mimi narudi darasani.
Nikafika class nikawaonesha na kutaka mtu alipe nilichofanya, hakuna aliyeweza. Basi nikawataka waache wizi maana hawajui kuiba.
Wewe ulikuwa tapeli sasa[emoji23][emoji23] mimi kuna teacher alikuwa ananiagiza agiza ovyo ni wa kike kuna siku akanipa hela kubwa kidogo nimfutie kitu dukani sikurudi nikawa mtoro na shule kwa mda wa two weeks.
na ndipo ukawa mwisho wa kunituma
Hahahaaa mimi nilikua naona huruma kuibia watu asee... vile mtu anahangaika kumbe ww ndio umemliza. Kuna jamaa ilikua kifika saa saba anatuambia twende kwenye shamba la mihogo mitam la bibi yake.. tulikua tunaamini. Tukirudi tunawaletea watu darasani kumbe sio labibi yake wala nini alikua anatupeleka kuiba.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Aiseee.
Nilikuwa nakaa karibu na shule, nikawa navizia muda wa wanafunzi kutawanyika Ile jioni maana sisi wa madarasa ya chini tulikuwa tunaenda nyumbani mchana na haturudi shule tena.
Hivyo nikiona wanafunzi wapo paredi ile jioni naingia darasani kwa sababu muda huo watakuwa hawajaenda na mabegi yao. Itakuwa bahati mbaya kama nitaingia kwenye begi lako lazima mtu aende nyumbani akiwa analia.
Yote ya yote nashukuru tabia hizo sikuzichukua nilipoanza kukitambua ila ningeamua kuiba kwa akili zile huwenda ningekuwa Carl Gugasian.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti mihogo ya bibi. Niliwahi kutukanwa na mademu wawili kipindi niko O level kuwa nimeiba zambarau kumbe maskini nilizinunua. Kile kitendo kiliniuma sana nikawaweka kiporo ile tunatawanyika ninao. Niliwapa kipigo cha uhakika, walikuja zama ambazo nilikuwa nachukia wizi na kunisingizia kuiba kwa kweli isingekuwa rahisi kuwaacha.Hahahaaa mimi nilikua naona huruma kuibia watu asee... vile mtu anahangaika kumbe ww ndio umemliza. Kuna jamaa ilikua kifika saa saba anatuambia twende kwenye shamba la mihogo mitam la bibi yake.. tulikua tunaamini. Tukirudi tunawaletea watu darasani kumbe sio labibi yake wala nini alikua anatupeleka kuiba.
Hii tabia ni mbaya sana nimeona athari zake, sitaki mwanangu aje kuwa na tabia ya ukimya kama wangu. Nina rafiki wachache sana na hata hao marafiki siwapi muda, napenda kuwa mwenyewe na sipendi kupigiwa simu za kukutana pasipo kuwa na kitu cha muhimu.
Siwasiliani na watu, siyo ndugu wala wafanyakazi wenzangu yaani kifupi napenda kukaa pekee yangu. Kati ya mwaka 2015 hadi 2016 nilikaa Arusha kwa mama mmoja hivi nikiwa kama mpangaji wake tangu naingia hadi natoka hakuwa kujua hata naitwa nani ndani ya kipindi cha mwaka mmoja hadi pale mtoto wake mdogo alipoamua kuniita John hadi leo hii nikienda kuwasalimia wananiita John na nimekubali lile jina.
Nilipata kuishi kwa baba mmoja pia kama mpangaji mwaka ulivyoisha nikaondoka, siku ile namkabidhi funguo ndipo yule baba anaomba hata tujuane. Sema kweli siwezi kubadilika kitabia na nikaja kuwa mtu wa kushobokea watu, nimejaribu nimeshindwa.
Mara nyingi nampenda kutumia JF kwa sababu nakuwa huru kujipa furaha.
Kuna mada iliwahi kuja humu inazungumzia Extrovert na Introvert hebu itafute uisome.
Ndiyo maana hawakuwahi kunifahamu.Kwa hiyo mkuu ulikuwa unapanga hizo nyumba bila kuandikishiana mikataba ya upangaji?
Daaah umenikumbusha mbali kweli.[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti mihogo ya bibi. Niliwahi kutukanwa na mademu wawili kipindi niko O level kuwa nimeiba zambarau kumbe maskini nilizinunua. Kile kitendo kiliniuma sana nikawaweka kiporo ile tunatawanyika ninao. Niliwapa kipigo cha uhakika, walikuja zama ambazo nilikuwa nachukia wizi na kunisingizia kuiba kwa kweli isingekuwa rahisi kuwaacha.
Mmoja wao nilimla, ila mmoja amefariki mwaka jana. (R. I. P)
Dah! Pole sana kaka.Daaah umenikumbusha mbali kweli.
Enzi hzo niko latano au lanne nilikua ka Handsome ataree..
Wadada wa 3 walinikaba wakanivua nguo wakanibaka.. hahaaaa!! Mmoja alikua mtoto wa mchungaji. Mmoja wapo alikua anaitwa Tiba huyu tulikua ae hadi sekondari nilikua nikimkumbusha anacheka sana. Mwakajana tarehe 8 mwezi wa nane kafariki akiwa anajifungua watoto mapacha. RIP Tiba