TBT: Mnawakumbuka hawa jamaa..?

TBT: Mnawakumbuka hawa jamaa..?

Kuhusu kuwa introvert hilo jambo nalikubali kabisa na nishajikubali jinsi nilivyo

Watu wachache nliowazoea wanadai we jamaa mbona mcheshi hivi na kwa nini hutaki mazoea na watu wengi

Anyway jf ndo sehemu pekee ninayoweza kuongea sana ani

Fb insta kote nna akaunti ila sijawahi post hata mara moja

Mafanikio yangu yote ni kimya kimya ani
Mi hii tabia mkuu sidhani kama ntaweza kuiacha maana nmekua nayo

Sijui labda mzee alinikuza vibaya maana ilkua nikitoka shule ni library ama kulala kila nyumba alkua akijenga lazima aweke library

Naingia library nakaa huko nachor chora vikatuni natoka naenda kucheki katuni nalala

Yaani labda ndo sababu muda wa kucheza na wenzangu ulkua mdogo sana
Pole sana, JF inaficha mengi sana. Yaani leo hii tukikutana members wa JF hutachukua muda kunigundua maana nitakuwa mwenyewe muda wote.

Kuna kipindi bwana mmoja hapa nchini alifanya tukio la kuteka hisia vyombo mbalimbali vya habari siku moja nikiwa kwenye harakati za kazi nikakutana naye, licha ya tabia yangu siku hiyo sijui ilikuwaje nikajikuta namsalimia na kuongea naye ila akajibu kwa nyodo na kujisikia. Tangu hapo niliapa hata nikutane na hayati Michael Jackson siwezi kumwongelesha.

Yule bwana bado tunakutana sana ila kuna siku nasubiri aingie kwenye 18 zangu nitalipa kisasi na nyodo zake zitaisha.

Ukimya siyo upole, hivyo mtu mkimya asionekane ni mpole. Mimi ukinichokoza huwa navaa sura nyingine lazima ujutie maamuzi yako.
 
N

Nmeiba snaa pen aisee

Enzi hizo tunatumia vioo kuchungulia chupi za kina aisha
Mwalim akija class bila pen anauliza nani ana pen mbili darasa "Jay" mimi huyo sasa. [emoji28][emoji28] Nampelekea compas Mwalimu achague anayo taka.

Sikuwahi wachungulia wasichana kabisa mbali na kuiba pen ilikua mimi na mpira.
 
Neno compas nimeikuta seko, msingi ni MKEBE.. unakuta nina mkebe umejaa peni ila zinazoandika vizuri ni moja zilizobaki zinagoma au haziandiki ila zimejaa wino
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na zilizoisha humo humo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Zote umo umo
Iyo siku nimechelewa class mornii kulikua na kipind kinaitwa chemsha bongo saa 1.45, ile nimeingia class Mwalim nae anaanza kusoma dictation chap nikazama kwenye compas nitoe pen aise kila pen ninayo toa haindiki karibu pen 4 haziandiki, huku Mwalimu anazidi kusonga na dictation. Mwisho wa siku nikachezea kichapo.
 
Hii haujaitolea maelezo mazuri.
Wanaume baada ya kukosa mnachokitaka huwa mnakikashifu kwa kujidai "sizitaki mbichi hizi"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
It's good you are alive
 
Jambazi mkuu shuleni kuna mda nilipachikwa jina la kaka jambazi
 
Neno compas nimeikuta seko, msingi ni MKEBE.. unakuta nina mkebe umejaa peni ila zinazoandika vizuri ni moja zilizobaki zinagoma au haziandiki ila zimejaa wino
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Aiseee.

Nilikuwa nakaa karibu na shule, nikawa navizia muda wa wanafunzi kutawanyika Ile jioni maana sisi wa madarasa ya chini tulikuwa tunaenda nyumbani mchana na haturudi shule tena.

Hivyo nikiona wanafunzi wapo paredi ile jioni naingia darasani kwa sababu muda huo watakuwa hawajaenda na mabegi yao. Itakuwa bahati mbaya kama nitaingia kwenye begi lako lazima mtu aende nyumbani akiwa analia.

Yote ya yote nashukuru tabia hizo sikuzichukua nilipoanza kukitambua ila ningeamua kuiba kwa akili zile huwenda ningekuwa Carl Gugasian.
 
Ahaaaa chitemo mimi masikini uvivu wangu nyumban raha sana
Mwalim :Nani anataka kuwa Kama chitemo.
Darasa : Kimya.
Mwalim : Nani anataka kuwa kama Sadiki.
Darasa :Mimiiii [emoji119][emoji119]
 
Shuleni tulikuwa tunashindana wizi wa vitu. Yaani ilitakiwa utumie akili uingie darasa lingine uibe na urudi na kitu darasa kwenu uoneshe wenzako kuwa umeiba darasa fulani.

Sasa vijana tukajifanya Scofield na kuanza kutumia akili na kweli wengi wao walifanikiwa mimi nawachora tu. Siku moja nikawaambia mimi siwezi kuiba humu madarasani kwa sababu hakuna mwanafunzi ataweza kuruka mtego wangu.

Mchana nikazama ofisini kwa Headmaster nikampa stori nyingi za uongo na kweli akaanza kukenua meno anacheka kumbe mimi nataka nitoke na kitu chochote ofisini kwake nikawaoneshe darasani. Kama dakika 5 mzee akajaa kwenye 18 nikapiga kalamu yake nyekundu nikamuaga Mwl mimi narudi darasani.

Nikafika class nikawaonesha na kutaka mtu alipe nilichofanya, hakuna aliyeweza. Basi nikawataka waache wizi maana hawajui kuiba.
[emoji23][emoji23] mimi kuna teacher alikuwa ananiagiza agiza ovyo ni wa kike kuna siku akanipa hela kubwa kidogo nimfutie kitu dukani sikurudi nikawa mtoro na shule kwa mda wa two weeks.
na ndipo ukawa mwisho wa kunituma
 
[emoji23][emoji23] mimi kuna teacher alikuwa ananiagiza agiza ovyo ni wa kike kuna siku akanipa hela kubwa kidogo nimfutie kitu dukani sikurudi nikawa mtoro na shule kwa mda wa two weeks.
na ndipo ukawa mwisho wa kunituma
Wewe ulikuwa tapeli sasa
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Aiseee.

Nilikuwa nakaa karibu na shule, nikawa navizia muda wa wanafunzi kutawanyika Ile jioni maana sisi wa madarasa ya chini tulikuwa tunaenda nyumbani mchana na haturudi shule tena.

Hivyo nikiona wanafunzi wapo paredi ile jioni naingia darasani kwa sababu muda huo watakuwa hawajaenda na mabegi yao. Itakuwa bahati mbaya kama nitaingia kwenye begi lako lazima mtu aende nyumbani akiwa analia.

Yote ya yote nashukuru tabia hizo sikuzichukua nilipoanza kukitambua ila ningeamua kuiba kwa akili zile huwenda ningekuwa Carl Gugasian.
Hahahaaa mimi nilikua naona huruma kuibia watu asee... vile mtu anahangaika kumbe ww ndio umemliza. Kuna jamaa ilikua kifika saa saba anatuambia twende kwenye shamba la mihogo mitam la bibi yake.. tulikua tunaamini. Tukirudi tunawaletea watu darasani kumbe sio labibi yake wala nini alikua anatupeleka kuiba.
 
Hahahaaa mimi nilikua naona huruma kuibia watu asee... vile mtu anahangaika kumbe ww ndio umemliza. Kuna jamaa ilikua kifika saa saba anatuambia twende kwenye shamba la mihogo mitam la bibi yake.. tulikua tunaamini. Tukirudi tunawaletea watu darasani kumbe sio labibi yake wala nini alikua anatupeleka kuiba.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti mihogo ya bibi. Niliwahi kutukanwa na mademu wawili kipindi niko O level kuwa nimeiba zambarau kumbe maskini nilizinunua. Kile kitendo kiliniuma sana nikawaweka kiporo ile tunatawanyika ninao. Niliwapa kipigo cha uhakika, walikuja zama ambazo nilikuwa nachukia wizi na kunisingizia kuiba kwa kweli isingekuwa rahisi kuwaacha.

Mmoja wao nilimla, ila mmoja amefariki mwaka jana. (R. I. P)
 
Hii tabia ni mbaya sana nimeona athari zake, sitaki mwanangu aje kuwa na tabia ya ukimya kama wangu. Nina rafiki wachache sana na hata hao marafiki siwapi muda, napenda kuwa mwenyewe na sipendi kupigiwa simu za kukutana pasipo kuwa na kitu cha muhimu.

Siwasiliani na watu, siyo ndugu wala wafanyakazi wenzangu yaani kifupi napenda kukaa pekee yangu. Kati ya mwaka 2015 hadi 2016 nilikaa Arusha kwa mama mmoja hivi nikiwa kama mpangaji wake tangu naingia hadi natoka hakuwa kujua hata naitwa nani ndani ya kipindi cha mwaka mmoja hadi pale mtoto wake mdogo alipoamua kuniita John hadi leo hii nikienda kuwasalimia wananiita John na nimekubali lile jina.

Nilipata kuishi kwa baba mmoja pia kama mpangaji mwaka ulivyoisha nikaondoka, siku ile namkabidhi funguo ndipo yule baba anaomba hata tujuane. Sema kweli siwezi kubadilika kitabia na nikaja kuwa mtu wa kushobokea watu, nimejaribu nimeshindwa.

Mara nyingi nampenda kutumia JF kwa sababu nakuwa huru kujipa furaha.

Kuna mada iliwahi kuja humu inazungumzia Extrovert na Introvert hebu itafute uisome.

Kwa hiyo mkuu ulikuwa unapanga hizo nyumba bila kuandikishiana mikataba ya upangaji?
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Eti mihogo ya bibi. Niliwahi kutukanwa na mademu wawili kipindi niko O level kuwa nimeiba zambarau kumbe maskini nilizinunua. Kile kitendo kiliniuma sana nikawaweka kiporo ile tunatawanyika ninao. Niliwapa kipigo cha uhakika, walikuja zama ambazo nilikuwa nachukia wizi na kunisingizia kuiba kwa kweli isingekuwa rahisi kuwaacha.

Mmoja wao nilimla, ila mmoja amefariki mwaka jana. (R. I. P)
Daaah umenikumbusha mbali kweli.
Enzi hzo niko latano au lanne nilikua ka Handsome ataree..
Wadada wa 3 walinikaba wakanivua nguo wakanibaka.. hahaaaa!! Mmoja alikua mtoto wa mchungaji. Mmoja wapo alikua anaitwa Tiba huyu tulikua ae hadi sekondari nilikua nikimkumbusha anacheka sana. Mwakajana tarehe 8 mwezi wa nane kafariki akiwa anajifungua watoto mapacha. RIP Tiba
 
Daaah umenikumbusha mbali kweli.
Enzi hzo niko latano au lanne nilikua ka Handsome ataree..
Wadada wa 3 walinikaba wakanivua nguo wakanibaka.. hahaaaa!! Mmoja alikua mtoto wa mchungaji. Mmoja wapo alikua anaitwa Tiba huyu tulikua ae hadi sekondari nilikua nikimkumbusha anacheka sana. Mwakajana tarehe 8 mwezi wa nane kafariki akiwa anajifungua watoto mapacha. RIP Tiba
Dah! Pole sana kaka.
 
Dah umenikumbisha mbali sana....dah! Maana shule nilikua na dem mmoja ambae pia monitor alikua anammendea hahaaaa monitor alipo chemka akatengeneza bifu na mm dairy alikua ananiandika mpiga kelele. Nilichezea sana mboko hata km sijapiga kelele lazima tu aniandike.Siku moja mwalimu wa dalasa akasema ww kukukomesha ndo nakupa u monitor hahaaaaa kilichoendelea sitaki kukisema maana huyo jamaa mpaka leo tukikutana hua tunacheka tu......
 
Back
Top Bottom