sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Tumetoka mbali sana, Yani siku hizi mtu anaweza kucheki muvi ndani ya blanketi hata kama nyumba haina umeme.umenikumbusha kipindi hicho tivi ipo kwa jirani na ukitaka kuangalia sharti uoge 😂
ni noma aisee yani sikuuizi mchawi ni bandoTumetoka mbali sana, Yani siku hizi mtu anaweza kucheki muvi ndani ya blanketi hata kama nyumba haina umeme.
[emoji81][emoji81]na hamna kukaa kwenye makochi ni mnakaa chinumenikumbusha kipindi hicho tivi ipo kwa jirani na ukitaka kuangalia sharti uoge [emoji23]
Hata bila bando, hizi muvi zinahamishika kirahisi tu kutumia flash disk, waya, bluetooth, n.k.ni noma aisee yani sikuuizi mchawi ni bando
Sinaga mbavu ile sehemu mtoto kawasha kiberiti, moto unachoma kiwanda cha yule bosi wao anajikaza tu maana mapolisi wapo mbele yake, hahahaha dah!!Wale jamaa walimzima moto mkuu wao kikatili sana.
tulipitia magumu asee[emoji81][emoji81]na hamna kukaa kwenye makochi ni mnakaa chin
yule boss alipata dhahama kuwashinda wenzie 😂Wale jamaa walimzima moto mkuu wao kikatili sana.