sekindunda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 335
- 232
Yule aliirusha kwa ruhusa ya Usalama wa Taifa kutoka Tanzania na aliendelea kupewa miongozo kupitia anga la Taznzania!!Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
Pimbi mamakoNi kweli na haiwezekani, ila pimbi hawa waliamini eti karuka bila kibali. Yaani ngoja kesho tuwakate
Nasubiria nione mkipewa mkopo kwa vitambulisho vya ujasiliamali.. ha ha ha ha haChadema ni kiwanda cha uongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanatafuta msamaha wa Raisi Lissu, Hamza ajiandae
Lijinga na pumbavu kabisa linashabikia kibarakaPimbi mamako
Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
TCAA jirekebisheni jmn - tusingrkuwa na upinzani mkali kama msingekuwa mnamshauri vibaya Rais
Kila jambo kwenye kila mamlaka hupenda kutumia nguvu kuliko common
Wasalaam wana jamvi!
Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao..
Yeye ali connect na control tower ya Tanzania. Na sisi tulimpa clearance tuu, tukijua anafanya nini kwa taifa letu.Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
@mg'atoBasi itakua huyu jamaa hapa chini ndiye aliyeirusha hio ndege leo.View attachment 1613979
Nani atawaamini hao mamluki ?Wasalaam wana jamvi!
Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!...
Mwambie Lissu huu uongo wake baada ya kesho ataenda akawe anaongopeana na yule beberu wake kule Ubelgiji.Wambieni hao TCAA ni wapuuzi tu kama walivyo mbwa wa Lumumba walojaza matope ,ujinga, upumbavu...
Kama una jazba kajinyonge ufe huna faida katika huu ulimwengu. Unasumbuliwa na Upumbavu. Lissu babalao, kura zote kwake upende usipende katapike huko si una mimba.Pimbi
sijawahi ona pimbi mjinga ka wewe, yaani wewe ni mbumbu na mpumbavu ka si lijinga lililojaza kinyesi badala ya ubongo kichwani. Hivi huyo kibaraka wako anaoubavu wa kuruka bila kibali na asitunguliwe???? Msg sana kmm ako. Hata musoma huyo kibaraka wako baada ya kupakiza gari akatunga uongo wa kusema eti wamezuia, lijinga likubwa mnakubali kudanganywa pimbi wakubwa. Kuwa na watu ka wewe kuendelea kuishi ni hasara pimbi mkubwa bora mufe wajinga kabisa maana mnasadiki uongo ws nge wakubwa
ASANTE SANA KWA HILI, NILIKUWA NAAMINI KIBALI ANACHO ILA ALITAKA KUTENGENEZA CHUKI TUU. SIO RAHISI AU HAIWEZEKANI KURUSHA NDEGE BILA APPROVAL YA FLIGHT PLAN, NA NILIUZA MASWALI MENGI SANA .
Na hata nikamalizia kuwa baada ya helicopter kufika Kawe bila ruhusa hio ndege ataenda kuipaki nyumbani kwake? Watu wa Insurance watamwacha? na ataendeshaji bila kuwa na contact na control tower ya karibu na anako kwenda?Na mwenye ndege anaruhusu kwani amepandwa na ujinga gani au aliokota pesa ya kununua hiyo helicopter? Na kuna uwezekano jeshi letu la anga likaichukulia ni ndege ya adui kwa kuwa haina utambulisho angani wa mamlaka husika2015 ilikuwa hakuna vibali ni kutoa taarifa basi,yote hii ni Mafigisu ya Magu
Naona hapo ulimpiga baada ya kukufanyia faraga ya Lisu?Basi itakua huyu jamaa hapa chini ndiye aliyeirusha hio ndege leo.View attachment 1613979
Mungu siyo AmsterdamMungu ibariki CHADEMA , Mungu mbariki Tundu Lissu.
Vipi kuhusu ratiba ya Mikoa ya Kusini CHADEMA walikosea pia kwenye maombi ya kibali?? Wasifikiri kila mtu ni mjinga kama wale mataga wa Lumumba.Haha Lisu Muongo sana eti tumeamua kuruka wafanye watakalo,
Kumbe anaficha ujinga wake kwa kutukana wengine.
Matapeli hawa.