Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA! Yasema CHADEMA waliomba kibali cha kuruka kwenda Dar leo saa tatu asubuhi

Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA! Yasema CHADEMA waliomba kibali cha kuruka kwenda Dar leo saa tatu asubuhi

Ulishasema aliiba hivyo ni mwizi
Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
 
TCAA jirekebisheni jmn - tusingrkuwa na upinzani mkali kama msingekuwa mnamshauri vibaya Rais

Kila jambo kwenye kila mamlaka hupenda kutumia nguvu kuliko common

Kwa kuwa wajinga mko wengi hata kitu cha upuuzi mnaamini. Haiwezekani Pilot yeyote wa anaendesha cha chombo cha anga akaruka bila ruhusa ya Mamlaka.

Tatizo la JF sasa hivi kuna vitu technical hata mbumbumbu kwa eneo hilo watataka kuchangia bila kujali ni utumbo. Ndio maana nikaweka for identification kuwa mimi nina Private Pilot Licence. Kwa hiyo ninaufahamu wa sheria za anga.
 
Wasalaam wana jamvi!

Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao..

This is rubbish.

Lissu alikuwa na ratiba ya kurudi DSM.

Helikopta ingekuwa na ratiba ya kwenda Nairobi, Lissu asingekwenda nayo Kia.
 
Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
Yeye ali connect na control tower ya Tanzania. Na sisi tulimpa clearance tuu, tukijua anafanya nini kwa taifa letu.
 
Wasalaam wana jamvi!

Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!...
Nani atawaamini hao mamluki ?
 
Pimbi

sijawahi ona pimbi mjinga ka wewe, yaani wewe ni mbumbu na mpumbavu ka si lijinga lililojaza kinyesi badala ya ubongo kichwani. Hivi huyo kibaraka wako anaoubavu wa kuruka bila kibali na asitunguliwe???? Msg sana kmm ako. Hata musoma huyo kibaraka wako baada ya kupakiza gari akatunga uongo wa kusema eti wamezuia, lijinga likubwa mnakubali kudanganywa pimbi wakubwa. Kuwa na watu ka wewe kuendelea kuishi ni hasara pimbi mkubwa bora mufe wajinga kabisa maana mnasadiki uongo ws nge wakubwa
Kama una jazba kajinyonge ufe huna faida katika huu ulimwengu. Unasumbuliwa na Upumbavu. Lissu babalao, kura zote kwake upende usipende katapike huko si una mimba.
 
ASANTE SANA KWA HILI, NILIKUWA NAAMINI KIBALI ANACHO ILA ALITAKA KUTENGENEZA CHUKI TUU. SIO RAHISI AU HAIWEZEKANI KURUSHA NDEGE BILA APPROVAL YA FLIGHT PLAN, NA NILIUZA MASWALI MENGI SANA .

Na hata nikamalizia kuwa baada ya helicopter kufika Kawe bila ruhusa hio ndege ataenda kuipaki nyumbani kwake? Watu wa Insurance watamwacha? na ataendeshaji bila kuwa na contact na control tower ya karibu na anako kwenda?Na mwenye ndege anaruhusu kwani amepandwa na ujinga gani au aliokota pesa ya kununua hiyo helicopter? Na kuna uwezekano jeshi letu la anga likaichukulia ni ndege ya adui kwa kuwa haina utambulisho angani wa mamlaka husika2015 ilikuwa hakuna vibali ni kutoa taarifa basi,yote hii ni Mafigisu ya Magu
 
Haha Lisu Muongo sana eti tumeamua kuruka wafanye watakalo,

Kumbe anaficha ujinga wake kwa kutukana wengine.

Matapeli hawa.
Vipi kuhusu ratiba ya Mikoa ya Kusini CHADEMA walikosea pia kwenye maombi ya kibali?? Wasifikiri kila mtu ni mjinga kama wale mataga wa Lumumba.
 
Back
Top Bottom