Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA! Yasema CHADEMA waliomba kibali cha kuruka kwenda Dar leo saa tatu asubuhi

Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA! Yasema CHADEMA waliomba kibali cha kuruka kwenda Dar leo saa tatu asubuhi

Mamlaka ya anga wametuangusha sana, lissu ni mgombea urais, hawakupaswa kumsumbua hivo, walipaswa kutoa kibali cha kutua na kuondoka popote kipindi hiki cha kampeni.Kuomba Kibali cha kampeni muda wote kwa mgombea urais haiji.
 
Wambieni hao TCAA ni wapuuzi tu kama walivyo Lumumba walojaza matope ,ujinga, upumbavu ..

T.lissu na team yake sio wajinga, et kurekebisha Kibali iwachukue masaa manne .

Ukweli nikua MWAMBA TUNDU ANTIPHAS LISSU ALIAMUA MWENYEWR KWA MAKUSUDI KABISA, KUMUAMURU RUBANI WA CHOPA YAKE, KUONDOA MZIGO KAMA AMBAVYO ALIAMUA KUTUMIA MTUMBWI KUVUKA ZIWA.

HUYO NDIO LISSU.

SASA MAFALA WA TCAA WANALETA UPUMBAVU UPUMBAVU.. WAENDE WADANGANYE MAJINGA YA LUMUMBA..
Kwahiyo tundu aliruka kuja dar bila kibali😂,wadanganyeni mazuzu wenzenu,Lissu hayupo na hawezi kuwa juu ya sheria.
 
Kwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
Unaongelea 77 wakati tupo 2020 we kweli boya
 
Tunakoelekea tutaanza kuombana vibali vya kuendesha magari barabarani.....
 
Wasalaam wana jamvi!

Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!

Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi

Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.

Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!

Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!

Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!​

View attachment 1613954
Weka nakala ya kibali Cha chadema hapo ili kumuona muongo ni Nina.
 
TCRA nao watasema simu ndio zilikuwa na tatizo
 
Wasalaam wana jamvi!

Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!

Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi

Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.

Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!

Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!

Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!​

View attachment 1613954
Mtu kama wewe unatumia makalio kufikiri. You Expect what kind of explanation from this evil government? You are axis of evils
 
Wambieni hao TCAA ni wapuuzi tu kama walivyo Lumumba walojaza matope ,ujinga, upumbavu ..

T.lissu na team yake sio wajinga, et kurekebisha Kibali iwachukue masaa manne .

Ukweli nikua MWAMBA TUNDU ANTIPHAS LISSU ALIAMUA MWENYEWR KWA MAKUSUDI KABISA, KUMUAMURU RUBANI WA CHOPA YAKE, KUONDOA MZIGO KAMA AMBAVYO ALIAMUA KUTUMIA MTUMBWI KUVUKA ZIWA.

HUYO NDIO LISSU.

SASA MAFALA WA TCAA WANALETA UPUMBAVU UPUMBAVU.. WAENDE WADANGANYE MAJINGA YA LUMUMBA..
Wanadhani sisi ni wajinga kama wao...
 
Wasalaam wana jamvi!

Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!

Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi

Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.

Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!

Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!

Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!​

View attachment 1613954
TCAA hamjasema mlipokea barua saa 3 na mkawajibu warekebishe sangapi hapo mnakwepa mnajua tu muda wao kurekebisha barua, mliamua kutoa barua baada ya yeye kutangaza kuwa ataondoka bila kibali. wao chadema hawawezi kukaa na barua wairekebishe kwa masaa 4 haiwezekani hapa kuna jambo lilibuma kaona mfanye fasta tu mumruhusu isilete taswira mbaya.
 
Back
Top Bottom