Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Mwaka 2015 Deo filikunjombe alianguka na helicopter na kufariki na rubani wake mzee Slaa Mzee Slaa alikua anarusha helicopter hiyo akiwa na miaka 68 na hakua na kibali cha kuruka kwa umri huo. Hapa mamlaka inafaa kupongezwa kwa kulinda usalama wa mgombea wa CHADEMA. Tafuteni ndege ingine badala ya kusingizia serikali.

Rejea Barua ya TCAA inasema kanuni ya 15 ya mwaka 2017.Wewe unazungumzia tukio la mwaka 2015.
 
Aisee kumbe tuna safari ndefu kwa hili taifa,,yan tunawategemea wasomi watusaidie sisi ambao hatujasoma kutudadavulia mambo kwa hoja nzur na maelezo ya kushiba kumbe sasa wasomi nao ni sawa na sisi tu ambao hatujasoma,,
 
Chadema wanagombana na kila taasisi kila mtu na kila kada.

Sasa sijui watafanya kazi na nani au watateua mashangazi zao na wajomba wasimamie kila taasisi.
 
Kwani local civil aviation authority ya Tanzania (TCAA) imeweka umri huo kuwa ni miaka mingapi? Je wameextend zaidi ya miaka hiyo 65?
umri bado sio kigezo , mbona mzee makamba na umri wake bado ana uwezo mzuri wa kusimama juu ya jukwaa na kutawala jukwaa kuliko hata vijana , aliesema nesi au dactari akifika miaka 70 hawezi choma sindano ni nani, ujuzi hauzeeki mkuu
 
Ahaaaa! Kwa hiyo huo utaratibu wa kutoa exemption kuhusu umri upo sasa kama upo ni kwanini TCAA jana hawakutoa exemption hiyo? Walitumia vigezo vipi kufikia hitimisho la kutotoa kibali? Tusubiri ili tujue kama wanaostahili kulaumiwa ni Chadema au TCAA walipokea maagizo toka mamlaka za juu?
Wewe umeshahukumu tayari.
Hao wenye helikopta ndio wa kulaumiwa kwa kupata tenda ya kipindi chote cha kampeni halafu wakashindwa kuwa na rubani mwenye umri sahihi.

Ni uzembe wa wamiliki wa helikopta kutofuata kanuni zilizopo.

Kosa la Makene ni kuandika barua yenye mtazamo wa kisiasa badala ya kusini mamia ukweli.
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
We umeskia TCAA ndio watunzi wa hyo kanuni ya umri? Acheni unyumbu basi. Mbona Mungu katumia muda wake mwingi kuwaumba kwa mfano wake afu mnamkana kiboya tu?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
umri bado sio kigezo , mbona mzee makamba na umri wake bado ana uwezo mzuri wa kusimama juu ya jukwaa na kutawala jukwaa kuliko hata vijana , aliesema nesi au dactari akifika miaka 70 hawezi choma sindano ni nani, ujuzi hauzeeki mkuu

Unaleta ubishi wa kitoto. Hao wamiliki wote wa ndege na helikopta wanafanya biashara kwa kuheshimu kanuni hiyo kwanini leo ivunjwe kirahisi tu?.
 
Hakuna unyumbu hapo ZWAZWA wewe. Kama kitu huelewi uliza badala ya KUKURUPUKA. Kajifunze kuandika kwanza badala ya kuandika kitu kumi. Afu ndiyo mdudu gani? 😳

We umeskia TCAA ndio watunzi wa hyo kanuni ya umri? Acheni unyumbu basi. Mbona Mungu katumia muda wake mwingi kuwaumba kwa mfano wake afu mnamkana kiboya tu?

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.
We can't risk our national security for your stupid interest. For this CDM mfe- fail vibaya sana. Ingekuwa kupeleka mgonjwa we could accept that.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Wenye kuuweka ubongo likizo ni wale wenye kumiliki helikopta ambao ndio waliowakodisha chadema kwa ajili ya kipindi cha kampeni.

Helikopta ikianguka na watu wakafa wa kwanza kulaumiwa ni Hamza na ofisi yake,hawezi kukubali mambo yajiendee tu kiholela.
hayo maneno sijui kuanguka hataki sikia hapa , hivi ajali za magari amabazo utokea tz huwa wanaendesha wazee au vijana , ok sasa naja kwenu chadema , natoa ushauri sio wangu bali ni wa yule anipae pumzi ya kutosha , na alieziumba mbingu na vitu vyote.
HIYO KAMPUNI YA CHOPA MSIITUMIE TENA BUT TAFUTA KAMPUNI YOYOTE INAYOKODISHA CHOPA ILA ISIWE HIYO , ROHO MTAKATIFU ANAGOMA , CHUKUA YOYOTE KAMPUNI HATA KUTOKA NJE YA NCHI NA KAMA HAIWEZEKANI , TUMIA NJIA MBADALA
 
hayo maneno sijui kuanguka hataki sikia hapa , hivi ajali za magari amabazo utokea tz huwa wanaendesha wazee au vijana , ok sasa naja kwenu chadema , natoa ushauri sio wangu bali ni wa yule anipae pumzi ya kutosha , na alieziumba mbingu na vitu vyote.
HIYO KAMPUNI YA CHOPA MSIITUMIE TENA BUT TAFUTA KAMPUNI YOYOTE INAYOKODISHA CHOPA ILA ISIWE HIYO , ROHO MTAKATIFU ANAGOMA , CHUKUA YOYOTE KAMPUNI HATA KUTOKA NJE YA NCHI NA KAMA HAIWEZEKANI , TUMIA NJIA MBADALA
Mkuu Haya umeyaandika ukiwa umekunywa pombe?
 
Hiv hizi akili za ngadu mnatoaga wapi? Sasa hao uliowataja ni marubani au abiria? Mmh kweli nchi ina vijana mizigo
Wakiitwa makamanda huwambii kitu, wanasema eti wanajitambua ..... Kumbe vichwa vya panzi... 😆 😆
 
TCAA hizi ndiyo zile zinazoitwa sababu za kubumba bumba.

Hata iweje mamlaka hizi chini ya jiwe zitakuja na visingizio kumfurahisha master.

Yale yale ya TBC.
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
We Kilaza hujasoma hayo maelezo kuwa CHADEMA walikua wanajua hivyo wakamuombea Exemption (Yaani msamaha/ruhusa ya kurusha ndege katika umri hu) Yaani ni CHADEMA ndiyo waliopeleka maombi na TCAA wakakataaa.
 
You know nothing about national security. Just another ZERO BRAIN with no idea about the issue.

We can't risk our national security for your stupid interest. For this CDM mfe- fail vibaya sana. Ingekuwa kupeleka mgonjwa we could accept that.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom