ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,704
- 1,694
Sheria ya uchaguzi inaagiza kiswahili tu kuwa ndio lugha pekee kwenye kampeni.
Sheria haiagizi hivyo. Mbona kila siku wagombea wanachanganya Kingereza na Kiswahili (Kiswangilishi). Juu ya hili sheria inasema nini? Au Kiwangilishi ni Kiswahili. Magufuli huwa anatumia Kiswasukuma