Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Kiinglish wanafahamu wakina matonya tu, Wacha chichi tiliesomea ngumbaru tunyamaze. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huu sasa uchochezi wa sera ya English na kiingereza 😂😂😂😂😂
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Mkuu naona tatizo lipo kwa mtoa huduma, alijua ni kinyume cha taratibu ndio maana aliomba kibali cha muda, hivyo ndiye aliyehujumu kampeni.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hivi unaelewa maana ya kuuliza swali?

unaelewa lakini au ni ubishi tu, mnataka wabatilishe kanuni na taratibu zilizowekwa? madhara yakitokea mtarudi hapa na lugha nyingine
 
Uko sahihi sana, je mara ya mwisho huyo rubani kurusha hiyo helikopta ni alipokuwa na miaka 65, na hajawahi kurusha tena?
Hayo maswali mngeyaelekeza State Aviation mlioingia nao mkataba.
 
Ni vizuri watuambie pia siku zote ni nani aliyekuwa anaendesha hiyo helikopter???? Kama ni rubani huyohuyo imekuwaje wamzuie sasa???
Ingalikuwa operator anajua kuwa anachofanya si kosa, asingeomba exemption ya kukubaliwa kumtumia over aged pilot. Ningekuwa Chadema ningeangalia kumdai fidia operator kwa kunisababishia hasara kwa uzembe wa kutomuandaa pilot kwa ndege iliyokuwa na kibali cha kuruka toka September hadi December. Ukitaka kujua uzembe wa Operator, Safari ya trh 10/9, exemption imeombwa 9/9, imekataliwa siku hiyohiyo lakini hawakumuarifu mteja mpaka alipowasiri uwanjani siku ya safari!!
 
Inaonekana ni swala linaloongozwa na sheria. Rubani anatakiwa asizidi miaka 65. Utatuzi ni rahisi tu. Hiyo kampuni ya State aviatian itumie rubani mwenye miaka chini ya 65 na kampeni ya mgombea uraisi iendelee.

Kwani yule aliyemshusha harmonize kwa kamba atakuwa ndio huyo huyo mzee aliogopa kutua uwanjani kwa uzee wake 😂😂😂😂😂😂 bora TL hajamtumia huyu angemshusha na kamba jamani
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Wenzio wamenukuu vifungu vya sheria wewe unataka waanze kumfanyia tathimini mtu?

Hivi bavicha mna akili kweli?
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Sheria inakataza pumbavu
 
Kama mtoa huduma aliomba kibali ina maana anajua kuna huo utaratibu na si ajabu alishawahi kuutumia siku za nyuma.

Mkuu naona tatizo lipo kwa mtoa huduma, alijua ni kinyume cha taratibu ndio maana aliomba kibali cha muda, hivyo ndiye aliyehujumu kampeni.
 
Liko wazi Tundu Lissuni ni ‘pathological liar’ CDM ndio wanaamini kila kitu anachosema.
 
Inaonekana ni swala linaloongozwa na sheria. Rubani anatakiwa asizidi miaka 65. Utatuzi ni rahisi tu. Hiyo kampuni ya State aviatian itumie rubani mwenye miaka chini ya 65 na kampeni ya mgombea uraisi iendelee.
Wa 65 anaruhusiwa..!? Maana kama ndo cutoff basi alitakiwa aruhusiwe
 
.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.


Hiyo ina maana TZ haijaongeza huo umri, labda kwa sababu haja haikuwepo. Nafikiri sasa ni muda muafaka kulipeleka hilo kwenye bunge lijalo, lakini sioni lina haraka. Ila nasikitika kuwa CHADEMA/BAVICHA walificha ukweli na kubadilisha hilo jambo. Ukweli ni kuwa kampuni ilitakiwa ipeleke maomba katika muda ambao wangekataliwa wangepata ALTERNATIVE. lINGINE, NI KUHUSU ukata AU KUTEMBEZA BAKULI KWA chadema KAMA WANA UKATA KWA NINI WATUMIE USAFIRI WA GHARAMA KUBWA. wEWE MASKINI, LAKINI BADALA YA KUTUMIA GARI UNATAKA NDEGE.
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Aisee...! Tuchutame tu mkuu, hawa viongozi wa Chadema wa sasa 'wanatuaibisha' sana. Ebu waulize, hawa viongozi wa Chadema ni sababu gani hapo ambayo haieleweki kama walivyo'tuongopea' kwenye taarifa yao ya kunyimwa kibali na TCAA? 'Tutachukuaje' madaraka ya nchi kama 'tunakuwa' waongo waongo namna hii?

Mimi nilijua 'watatuaibisha' tu kwa maelezo yao yale!

Chadema wanataka tufuate sheria lakini wao wanataka wazivunje...! Wanatafuta kisingizio cha kipuuzi kabisa ili 'watuabishe' wanachadema. Sasa aibu hii...'tutaficha' wapi nyuso 'zetu' ! Wa'meniudhi' !!
 
Back
Top Bottom