Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.

Inaonekana ni swala linaloongozwa na sheria. Rubani anatakiwa asizidi miaka 65. Utatuzi ni rahisi tu. Hiyo kampuni ya State aviatian itumie rubani mwenye miaka chini ya 65 na kampeni ya mgombea uraisi iendelee.
 
The International Civil Aviation Authority (ICAO) sets the maximum retirement age at 65, which the FAA has adopted. However, some local civil aviation authorities have extended that age to address a shortage of pilots in their markets.

What to Know About the Mandatory Pilot Retirement Age
Kwani local civil aviation authority ya Tanzania (TCAA) imeweka umri huo kuwa ni miaka mingapi? Je wameextend zaidi ya miaka hiyo 65?
 
Japan’s civil aviation authority raised the mandatory retirement age to 67 in 2015, and the Civil Aviation Administration of China, which currently sets the maximum retirement age at 60, is considering extending that age, too.

The International Civil Aviation Authority (ICAO) sets the maximum retirement age at 65, which the FAA has adopted. However, some local civil aviation authorities have extended that age to address a shortage of pilots in their markets.

What to Know About the Mandatory Pilot Retirement Age
 
Kwa hiyo harmonize na diamond wanavibali vya kuzunguka na chopa watakavyo
 
CCM wanakimbia majukwaa ya kampeni kujibu hoja za ushindani, sasa wanatumia "preemptive approach" ili kuzuia wapiga kura wasifunguliwe akili zao kuhusu uchakavu wa sera za CCM. Wanajaribu kuzuia mafuriko kwa mikono kitu ambacho kamwe hakiwezekani.

Kwa kadiri wanavyofanya hila kwa vyama vya upinzani, hasa kwa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu, ndivyo ambavyo watu wengi wanajenga shahuku ya kutaka kuzisikia nondo zake. Huyu Tundu ni mfano hai kabisa wa madini ya thamani kubwa kutokana na ubora wa chama chake na uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja awapo jukwaani.

Ukweli utabaki kuwa, uwepo wa mgombea wa CCM kisera na kihoja, ni sawa tu uwepo wa wingi wa madini ya chumvi ambayo bei yake sokoni ni ya chini mno, lkn mgombea wa CDM ni sawa na madini ya dhahabu, ambapo mchakato wake wa kuyapata na uchache wake huyapa thamani kubwa sana yawapo sokoni. Wana CCM ikumbukeni sana hii namba, yaani ushindi wa Lissu wa 65% kwa yenu ya 30%

Hesabu siku zote haziongopi. Baada ya kufanya kampeni kwa kilugha, sasa itawapasa kuva kaniki ili muonekane kuwa na nyinyi ni wanyonge kutokana na sera mnazozihubiri kwa watu wasiokuwa na uelewa wa kutosha wa mambo ya kisiasa.
 
Mimi naona kuna hasara zaidi ya faida kutumia rubani ambaye kisheria za aviation anaonekana umri wake haufai kuendelea kuwa rubani wa ndege.
QUOTE="BAK, post: 36641858, pmember: 1397"]
.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.
[/QUOTE]pp
0
 
The International Civil Aviation Authority (ICAO) sets the maximum retirement age at 65, which the FAA has adopted. However, some local civil aviation authorities have extended that age to address a shortage of pilots in their markets.

What to Know About the Mandatory Pilot Retirement Age
In Tanzania we have not yet extended that age and we don't have a shortage of pilots in our markets. Now why Chadema they did not tell the public the truth that the issue is about the age of the pilot? Poor Malalamiko FC!!
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Maandiko yanasema ficha upumbavu wako usiifiche hekima yako, hiyo sheria ipo na inatumika miaka yote kwa nini hamkuhoji? nani kawadanganya kwamba nyie ni special sana? sio nyie kila uchao mnalalamikia uvunjwaji wa sheria na vyombo, taasisi au watu kadhaa? wakifuata na kusimamia sheria pia ni kosa? hamjui hata mnataka nini, jiandaeni na 5% ya kura zote 28 October.

JPM anachana mikoa miwili kwa siku na anahutubia karibu kila kata, acheni uvivu, tembeeni barabarani muone kero za wananchi ili msijeropoka tena kwamba Magufuli anajenga miundombinu tu.
 
Kuna siku mtanyongwa! Kama siyo nyinyi ni watoto wenu!
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Mkuu helikopta sio daladala ni chombo cha angani kikianguka hakina majeruhi ni vifo tu.

Sheria inasema ni miaka 65 kushuka chini. Ni jukumu la watumiaji kutafuta mtu anayekidhi vigezo kulingana na ratiba yao.
 
Hio Kampuni ina rubani mmoja tu..., na kama ina rubani mmoja ambaye hawezi kurusha hicho chombo sasa inafanyaje kazi zake, au huwa wanarusha kwa kumtumia huyo huyo rubani?
 
Hamza analinda choo cha wanaye. Pole Sana bwana Hamza kwa kuuweka ubongo wako likizo na kuamua kutumia ule wa John mpk pale atakapokutengua.
 
Ni vizuri watuambie pia siku zote ni nani aliyekuwa anaendesha hiyo helikopter???? Kama ni rubani huyohuyo imekuwaje wamzuie sasa???

Mtu anazeeka habaki kuwa na umri ule ule milele yote, wa kujiongeza ni hao wamiliki wa helikopta sio chadema ambao ni wakodishaji tu.
 
Back
Top Bottom