Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mimi si mwanasiasa.
Mimi si mpenzi wau mfuasi wa Lissu(actually nimekuwa nikipinga mambo mengi ya Lissu na maneno yake)
Mimi ni mtanzania huru chini ya katiba ya nchi ya Tanzania.
Kinachonishangaza ni juhudi za watu fulani ndani ya serikali kukiuka uhuru wa Mtanzania wa kawaida kupata habari na kutoa maoni yake juu ya habari hizo.
Majuzi TCRA wamekipiga fine kituo kimoja cha habari kwa kutekeleza haki hiyi ya mwananchi KUJULISHWA kinachoendelea nchini.
Kosa walilofanya "eti" ni kurusha matangazo ya redio BBC ambayo kwa njia moja au nyingine kilirusha habari za Tundu Lissu.
Kama nilivyosema Tundu Lisuu huwa sikubaliani naye mara nyingi, lakini haki ya kusikia anachosema ni uhuru wa wananchi.
Sasa TCRA kutumika kuwa agent wa kuzima haki ya kupata habari , huu ni udhifu mkubwa sana.
TCRA inaanza kutumika kama chombo cha kuzuia haki za msingi za mwananchi.
Nafikiri matumizi ya chombo hiki kana kunavyotumika sasa, sivyo kilivyotarajiwa na wananchi.
Chombo cha kitaaam kinatumika ndivyo sivyo, na sasa kinaaza kuvuna chuki za wananchi.
Tujizuie chonde chonde kukiharibu ili kitumike kama kilivyotarajiwa.
Uhuru wa kupata habari umeainishwa katika Katiba kifungu cha 18(b) kama nilvyo nukuu:
The Right to Freedom of Conscience Freedom of expression
18. Every person -
(a) has a freedom of opinion and expression of his ideas; Act No.1 of 2005 Art.6
(b) has a right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
(c) has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication; and
(d) has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.
Mimi si mpenzi wau mfuasi wa Lissu(actually nimekuwa nikipinga mambo mengi ya Lissu na maneno yake)
Mimi ni mtanzania huru chini ya katiba ya nchi ya Tanzania.
Kinachonishangaza ni juhudi za watu fulani ndani ya serikali kukiuka uhuru wa Mtanzania wa kawaida kupata habari na kutoa maoni yake juu ya habari hizo.
Majuzi TCRA wamekipiga fine kituo kimoja cha habari kwa kutekeleza haki hiyi ya mwananchi KUJULISHWA kinachoendelea nchini.
Kosa walilofanya "eti" ni kurusha matangazo ya redio BBC ambayo kwa njia moja au nyingine kilirusha habari za Tundu Lissu.
Kama nilivyosema Tundu Lisuu huwa sikubaliani naye mara nyingi, lakini haki ya kusikia anachosema ni uhuru wa wananchi.
Sasa TCRA kutumika kuwa agent wa kuzima haki ya kupata habari , huu ni udhifu mkubwa sana.
TCRA inaanza kutumika kama chombo cha kuzuia haki za msingi za mwananchi.
Nafikiri matumizi ya chombo hiki kana kunavyotumika sasa, sivyo kilivyotarajiwa na wananchi.
Chombo cha kitaaam kinatumika ndivyo sivyo, na sasa kinaaza kuvuna chuki za wananchi.
Tujizuie chonde chonde kukiharibu ili kitumike kama kilivyotarajiwa.
Uhuru wa kupata habari umeainishwa katika Katiba kifungu cha 18(b) kama nilvyo nukuu:
The Right to Freedom of Conscience Freedom of expression
18. Every person -
(a) has a freedom of opinion and expression of his ideas; Act No.1 of 2005 Art.6
(b) has a right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries;
(c) has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication; and
(d) has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.