TCRA fungia mitandao ya kichochezi kabla hamjachelewa

TCRA fungia mitandao ya kichochezi kabla hamjachelewa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kuna mitandao nchini kama Jambo tv ambayo inashabikia kutoa taarifa zinazowachanganya na kuwagawa wananchi. Serikali inasubiri hadi wapi ili kuifuta?

Kule Marekani kulikuwa na mtandao wa you tube the Dive wa kijana anaeitwa Jackson Hinkle ambao ulikuwa ukiripoti habari za vita ya Ukraine, wameufungia kwenye you tube pamoja na mitandao mingine kuonyesha kuwa hata Marekani ambako demokrasia imekomaa bado hakuna Uhuru mpana usiokuwa na mipaka.

Amani hii ya Tanzania haikuja hivihivi kama mvua, bali ni imekengwa na mambo mengi sana yakowemo kuchuja, kuzuia na kufuta vyombo vya habari vinavyowagawa watu.

Kuna vyombo vya habari nchini ambavyo watu wanaopenda kuwagawa wananchi hupendelea kuvitumia zaidi, serikali chukueni hatua mapema kabla amani yetu haijatuponyoka kwenye mikono yenu.

Kuna watu ambao wanatumia vyombo hivi kupinga kazi na maamuzi halali ya serikali, bunge na mahakama, mwishowe itakuwa nini kama sio vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya wanaoiamini serikali, bunge na maamuzi ya mahakama na wale wasioyaamini.
 
Kuna mitandao nchini kama Jambo tv ambayo inashabikia kutoa taarifa zinazowachanganya na kuwagawa wananchi. Serikali inasubiri hadi wapi ili kuifuta?

Kule Marekani kulikuwa na mtandao wa you tube the Dive wa kijana anaeitwa Jackson Hinkle ambao ulikuwa ukiripoti habari za vita ya Ukraine, wameufungia kwenye you tube pamoja na mitandao mingine kuonyesha kuwa hata Marekani ambako demokrasia imekomaa bado hakuna Uhuru mpana usiokuwa na mipaka.

Amani hii ya Tanzania haikuja hivihivi kama mvua, bali ni imekengwa na mambo mengi sana yakowemo kuchuja, kuzuia na kufuta vyombo vya habari vinavyowagawa watu.

Kuna vyombo vya habari nchini ambavyo watu wanaoipenda kuwagawa wananchi hupendelea kuvitumia zaidi, serikali chukueni hatua mapema kabla amani yetu haijatuponyoka kwenye mikono yenu.

Kuna watu ambao wanatumia vyombo hivi kupinga kazi na maamuzi halali ya serikali, bunge na mahakama, mwishowe itakuwa nini kama sio vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya wanaoiamini serikali, bunge na maamuzi ya mahakama na wale wasioyaamini.
Wewe ungekuwa kiongozi wnanchi wote wangehamia Burundi.
 
Wewe ungekuwa kiongozi wnanchi wote wangehamia Burundi.
Amani kwenye zama za ukoloni mamboleo ni bidhaa adim sana. Afrika na hata huko Magharibi inakohubiliwa haiko na haitakuwepo, wanatudanganya sisi. Wenzetu huko Magharibi Wana mifumo imara ya sheria, Kodi, uhamiaji, masoko, biashara na magereza. Hawana demokrasia hata kidogo, magereza Yao yamejaa.
 
Amani kwenye zama za ukoloni mamboleo ni bidhaa adim sana. Afrika na hata huko Magharibi inakohubiliwa haiko na haitakuwepo, wanatudanganya sisi. Wenzetu huko Magharibi Wana mifumo imara ya sheria, Kodi, uhamiaji, masoko, biashara na magereza. Hawana demokrasia hata kidogo, magereza Yao yamejaa.
Ndiyo sababu tunashuhudia maelfu ya wazungu wanakufa baharini wakijaribu kuvuka kukimbilia Afrika!
 
Ndiyo sababu tunashuhudia maelfu ya wazungu wanakufa baharini wakijaribu kuvuka kukimbilia Afrika!
Mali za waafrika zinaibwa kwenda Magharibi, vijana wetu wanazifuata mali zao zilikopelekwa. Tulidanganywa sana kuwa Magharibi Kuna demokrasia pana ya kusema na kufanya chochote bila kuulizwa. Lakini tunOnA Trump anaandamwa na Dola.
 
Kuna mitandao nchini kama Jambo tv ambayo inashabikia kutoa taarifa zinazowachanganya na kuwagawa wananchi. Serikali inasubiri hadi wapi ili kuifuta?

Kule Marekani kulikuwa na mtandao wa you tube the Dive wa kijana anaeitwa Jackson Hinkle ambao ulikuwa ukiripoti habari za vita ya Ukraine, wameufungia kwenye you tube pamoja na mitandao mingine kuonyesha kuwa hata Marekani ambako demokrasia imekomaa bado hakuna Uhuru mpana usiokuwa na mipaka.

Amani hii ya Tanzania haikuja hivihivi kama mvua, bali ni imekengwa na mambo mengi sana yakowemo kuchuja, kuzuia na kufuta vyombo vya habari vinavyowagawa watu.

Kuna vyombo vya habari nchini ambavyo watu wanaoipenda kuwagawa wananchi hupendelea kuvitumia zaidi, serikali chukueni hatua mapema kabla amani yetu haijatuponyoka kwenye mikono yenu.

Kuna watu ambao wanatumia vyombo hivi kupinga kazi na maamuzi halali ya serikali, bunge na mahakama, mwishowe itakuwa nini kama sio vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya wanaoiamini serikali, bunge na maamuzi ya mahakama na wale wasioyaamini.
Mi ninafikili wangeanza kuwafungia tuma hela kwenye namba hii ingesaidia sana
 
Unataka channel zote ziwe kama TBC utasubiri sana
Hapana, Uhuru maana yake sio kusema na tenda chochote. Uhuru ni kufikiria sheria na wengine pia kabla ya kusema na kutenda. Mfano, unapotaka watu waandamane uwafikirie pia wale wasiopenda kuandamana.
 
Hata TBC wanatuchanganya mwingine anasema MKATABA mwingine makubaliano huo ni uchochezi
Watu wetu wengi bado hawana elimu ya kutosha, ni rahisi sana kuwachochea wakachocheleka. Kuna watu wanakopi matukio kutoka Ulaya bila kukopi mazingira yanayosapoti hilo tukio huko walikolikopi.
 
Back
Top Bottom