TCRA hivi mpo kwa ajili yetu ama? Waziri wa Mawasiliwano tusaidie hili

TCRA hivi mpo kwa ajili yetu ama? Waziri wa Mawasiliwano tusaidie hili

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habari zenu wanajukwaa.

Ninaomba hili suala limfikie mwenye dhamana na haya Mambo yanaboa Sana.
Unanunua kifurushi wanakupangia muda wa kutumia.

Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao wanaangalia matumbo Yao. Huku wakifanya watanzania kuwa masikini jamani.

Mbona huwa nikinunua sukari dukani sipangiwi siku za kuitumia na kila siku ni kiasi gani nitumie.

Mbona kanuni ya biashara iko wazi ama tayari maji ya bendera wamekunya.
 
Screenshot_20220217-153652.png
Screenshot_20220217-153652.png
 
Habari zenu wanajukwaa.

Ninaomba hili suala limfikie mwenye dhamana na haya Mambo yanaboa Sana.
Unanunua kifurushi wanakupangia muda wa kutumia.

Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao wanaangalia matumbo Yao. Huku wakifanya watanzania kuwa masikini jamani.

Mbona huwa nikinunua sukari dukani sipangiwi siku za kuitumia na kila siku ni kiasi gani nitumie.

Mbona kanuni ya biashara iko wazi ama tayari maji ya bendera wamekunya.
KIFURUSHI KWENYE SIMU YAKO NI SAWA NA BUFEE UNACHAGUA AINA YA MSOSI UUTAKAO...MITANDAO YOTE YA SIMU SASA HIVI YA VODACOM, TIGO, AIRTEL,TTCL NK INAWEKA HIZO BUFEE AINA LUKUKI ZA VIFURUSHI NI KAZI YAKO KUCHAGUA UKIENDA KWENYE HUO MTANDAO WAKO VIPO VIFURUSHI VISIVYOKUPANGIA KAMA HALICHACHI NK KUWALAUMU TCRA NA WAZIRI NADHANI SIO SAHIHI.

BY THE WAY TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZA AFRIKA AMBAZO GHARAMA YA VIFURUSHI IPO CHINI KWA MUJIBU WA TAFITI NYINGI ZILIZOFANYWA.... HILI NI KWA MUJIBU WA SHIRIKA LA MAWASILIANO LA UMOJA WA MATAIFA ITU PAMOJA NA TAFITI HURU NYINGINEZO NYINGI TU.


UKIENDA MALAWI KUANZIA ILE KENGELE UNAPOPIGA SIMU MUAMALA UNAANZA KUSOMA. REJEA TAFITI HIZI CHINI HAPO:-

  • Somalia. ...
  • Ghana. ...
  • Libya. ...
  • Tanzania. Tanzania ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Mauritius. Mauritius ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Nigeria. Nigeria ($0.88) per 1GB of mobile data.
  • Cameroon. Cameroon ($0.90) per 1GB of mobile data.
  • Senegal. Senegal ($0.94) per 1GB of mobile data.
African Countries With The Cheapest Mobile Data Plans

Africa_s_Top_10_Countries_with_the_cheapest_data_plan_01-2048x1245.jpg


MY TAKE:

Vijana tupunguze kulalamikia vitu vidogo kama hivi...tutafute pesa kwa bidii tuache kulalamikia vitu vya bukubuku hivi...haya makampuni ni ya wanaume wenzetu na akina mama wanaotafuta pesa na kwa hapa Bongo Serikali imesimamia bei ya mawasiliano iko chini sana au tunataka 0 pricing!!!?


Screenshot 2021-11-22 095052.jpg
 
KIFURUSHI KWENYE SIMU YAKO NI SAWA NA BUFEE UNACHAGUA AINA YA MSOSI UUTAKAO...MITANDAO YOTE YA SIMU SASA HIVI YA VODACOM, TIGO, AIRTEL,TTCL NK INAWEKA HIZO BUFEE AINA LUKUKI ZA VIFURUSHI NI KAZI YAKO KUCHAGUA UKIENDA KWENYE HUO MTANDAO WAKO VIPO VIFURUSHI VISIVYOKUPANGIA KAMA HALICHACHI NK KUWALAUMU TCRA NA WAZIRI NADHANI SIO SAHIHI.

BY THE WAY TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZA AFRIKA AMBAZO GHARAMA YA VIFURUSHI IPO CHINI KWA MUJIBU WA TAFITI NYINGI ZILIZOFANYWA.... HILI NI KWA MUJIBU WA SHIRIKA LA MAWASILIANO LA UMOJA WA MATAIFA ITU PAMOJA NA TAFITI HURU NYINGINEZO NYINGI TU.


UKIENDA MALAWI KUANZIA ILE KENGELE UNAPOPIGA SIMU MUAMALA UNAANZA KUSOMA. REJEA TAFITI HIZI CHINI HAPO:-

  • Somalia. ...
  • Ghana. ...
  • Libya. ...
  • Tanzania. Tanzania ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Mauritius. Mauritius ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Nigeria. Nigeria ($0.88) per 1GB of mobile data.
  • Cameroon. Cameroon ($0.90) per 1GB of mobile data.
  • Senegal. Senegal ($0.94) per 1GB of mobile data.
African Countries With The Cheapest Mobile Data Plans

View attachment 2122049

MY TAKE:

Vijana tupunguze kulalamikia vitu vidogo kama hivi...tutafute pesa kwa bidii tuache kulalamikia vitu vya bukubuku hivi...haya makampuni ni ya wanaume wenzetu na akina mama wanaotafuta pesa na kwa hapa Bongo Serikali imesimamia bei ya mawasiliano iko chini sana au tunataka 0 pricing!!!?


View attachment 2122048
Nashukuru mkuu
 
Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao wanaangalia matumbo Yao. Huku wakifanya watanzania kuwa masikini jamani.
Walitakiwa kuwa na condition moja tu kwamba umenunua kifurushi unapewa sms kadhaa ni lini uzimalize libakie suala lako, kama ilivyo hotelini unanunua chakula unaamua wewe ule tangu asubuhi hadi jioni ukibakiza wakuwekee kwenye fridge unakuja kumalizia kesho asubuhi
 
Habari zenu wanajukwaa.

Ninaomba hili suala limfikie mwenye dhamana na haya Mambo yanaboa Sana.
Unanunua kifurushi wanakupangia muda wa kutumia.

Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao wanaangalia matumbo Yao. Huku wakifanya watanzania kuwa masikini jamani.

Mbona huwa nikinunua sukari dukani sipangiwi siku za kuitumia na kila siku ni kiasi gani nitumie.

Mbona kanuni ya biashara iko wazi ama tayari maji ya bendera wamekunya.
KIFURUSHI KWENYE SIMU YAKO NI SAWA NA BUFEE UNACHAGUA AINA YA MSOSI UUTAKAO...MITANDAO YOTE YA SIMU SASA HIVI YA VODACOM, TIGO, AIRTEL,TTCL NK INAWEKA HIZO BUFEE AINA LUKUKI ZA VIFURUSHI NI KAZI YAKO KUCHAGUA UKIENDA KWENYE HUO MTANDAO WAKO VIPO VIFURUSHI VISIVYOKUPANGIA KAMA HALICHACHI NK KUWALAUMU TCRA NA WAZIRI NADHANI SIO SAHIHI.

BY THE WAY TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZA AFRIKA AMBAZO GHARAMA YA VIFURUSHI IPO CHINI KWA MUJIBU WA TAFITI NYINGI ZILIZOFANYWA.... HILI NI KWA MUJIBU WA SHIRIKA LA MAWASILIANO LA UMOJA WA MATAIFA ITU PAMOJA NA TAFITI HURU NYINGINEZO NYINGI TU.


UKIENDA MALAWI KUANZIA ILE KENGELE UNAPOPIGA SIMU MUAMALA UNAANZA KUSOMA. REJEA TAFITI HIZI CHINI HAPO:-

  • Somalia. ...
  • Ghana. ...
  • Libya. ...
  • Tanzania. Tanzania ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Mauritius. Mauritius ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Nigeria. Nigeria ($0.88) per 1GB of mobile data.
  • Cameroon. Cameroon ($0.90) per 1GB of mobile data.
  • Senegal. Senegal ($0.94) per 1GB of mobile data.
African Countries With The Cheapest Mobile Data Plans

View attachment 2122049

MY TAKE:

Vijana tupunguze kulalamikia vitu vidogo kama hivi...tutafute pesa kwa bidii tuache kulalamikia vitu vya bukubuku hivi...haya makampuni ni ya wanaume wenzetu na akina mama wanaotafuta pesa na kwa hapa Bongo Serikali imesimamia bei ya mawasiliano iko chini sana au tunataka 0 pricing!!!?
Nashukuru mkuu
Asante kuelewa ndugu yangu
 
KIFURUSHI KWENYE SIMU YAKO NI SAWA NA BUFEE UNACHAGUA AINA YA MSOSI UUTAKAO...MITANDAO YOTE YA SIMU SASA HIVI YA VODACOM, TIGO, AIRTEL,TTCL NK INAWEKA HIZO BUFEE AINA LUKUKI ZA VIFURUSHI NI KAZI YAKO KUCHAGUA UKIENDA KWENYE HUO MTANDAO WAKO VIPO VIFURUSHI VISIVYOKUPANGIA KAMA HALICHACHI NK KUWALAUMU TCRA NA WAZIRI NADHANI SIO SAHIHI.
Nadhani mleta mada ana haki ya kuwalaumu kwakuwa tayari imebainika huo utaratibu inalalamikiwa na wengi, watumiaji wengi wanatoa maoni yao mazuri kabisa lakini hayasikilizwi

Kuna member humu alisema anafungua kesi dhidi ya hayo makampuni lakini sijui aliishia wapi
 
UKIENDA MALAWI KUANZIA ILE KENGELE UNAPOPIGA SIMU MUAMALA UNAANZA KUSOMA. REJEA TAFITI HIZI CHINI HAPO:-

  • Somalia. ...
  • Ghana. ...
  • Libya. ...
  • Tanzania. Tanzania ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Mauritius. Mauritius ($0.75) per 1GB of mobile data.
  • Nigeria. Nigeria ($0.88) per 1GB of mobile data.
  • Cameroon. Cameroon ($0.90) per 1GB of mobile data.
  • Senegal. Senegal ($0.94) per 1GB of mobile data.
Sasa nasi tuige ulaji wa jirani yetu? Kama ana nia ovu nasi tumuige, tutengeneze ya kwetu ili na yeye ajifunze kwetu
 
Nadhani mleta mada ana haki ya kuwalaumu kwakuwa tayari imebainika huo utaratibu inalalamikiwa na wengi, watumiaji wengi wanatoa maoni yao mazuri kabisa lakini hayasikilizwi

Kuna member humu alisema anafungua kesi dhidi ya hayo makampuni lakini sijui aliishia wapi
Ile ni biashara huria...Mitandao ya simu yote Tanzania ina utaratibu wa vifurushi kwa mfano:

VODACOM ANA VIFURUSHI VYA:

Hii yoote ni bufee unachagua msosi uutakao ukitaka cha video tu kipo ukitaka cha kuisha fasta

AIRTEL ANA:-

'Yatosha Janja Lao' ambayo unachagua kifurushi utakacho


Sasa hoja hapa ni ipi kwa sababu kuna vifurushi kwenye kila mtandao wa simu kwa kadiri utakavyo...ukihitaji cha kuisha fasta kipo ukitaka cha kuisha taratibu kipo...issue ni kwamba mleta mada kaelewa ila wewe ndugu yangu naona unalazimisha kutokuelewa...vitu vingine ni vidogo sana ambavyo vinahitaji tu ujielimishe au upige simu huduma kwa wateja na sio kuja humu kuwalaumu serikali kwa vitu ambavyo mtumiaji mwenyewe wa huduma angeweza kusort kwa kushirikiana na mtoa huduma wake...hakuna cha dezo siku hizi....Soma facts hapo juu Tanzania ina bei ya chini sana ya data sasa hapo mnataka hao TCRA na Waziri wafanye nini au wakafanyeje!!! vitu vingine tushughulishe akili zetu hata kidogo tu sio KULA KANDE NA KUSEMA NIMESHIBA SASA NGOJA NIENDE JAMII FORUM NIKAILAUMU SERIKALI...ni kupoteza rasilimali muda unnecessarily...by the way mleta uzi kaelewa kazi imebaki kukuelewesha wewe sasa
 
Ile ni biashara huria...Mitandao ya simu yote Tanzania ina utaratibu wa vifurushi kwa mfano:

VODACOM ANA VIFURUSHI VYA:

Hii yoote ni bufee unachagua msosi uutakao ukitaka cha video tu kipo ukitaka cha kuisha fasta

AIRTEL ANA:-

'Yatosha Janja Lao' ambayo unachagua kifurushi utakacho


Sasa hoja hapa ni ipi kwa sababu kuna vifurushi kwenye kila mtandao wa simu kwa kadiri utakavyo...ukihitaji cha kuisha fasta kipo ukitaka cha kuisha taratibu kipo...issue ni kwamba mleta mada kaelewa ila wewe ndugu yangu naona unalazimisha kutokuelewa...vitu vingine ni vidogo sana ambavyo vinahitaji tu ujielimishe au upige simu huduma kwa wateja na sio kuja humu kuwalaumu serikali kwa vitu ambavyo mtumiaji mwenyewe wa huduma angeweza kusort kwa kushirikiana na mtoa huduma wake...hakuna cha dezo siku hizi....Soma facts hapo juu Tanzania ina bei ya chini sana ya data sasa hapo mnataka hao TCRA na Waziri wafanye nini au wakafanyeje!!! vitu vingine tushughulishe akili zetu hata kidogo tu sio KULA KANDE NA KUSEMA NIMESHIBA SASA NGOJA NIENDE JAMII FORUM NIKAILAUMU SERIKALI...ni kupoteza rasilimali muda unnecessarily...by the way mleta uzi kaelewa kazi imebaki kukuelewesha wewe sasa
Sawa mnyalukolo
 
Habari zenu wanajukwaa.

Ninaomba hili suala limfikie mwenye dhamana na haya Mambo yanaboa Sana.
Unanunua kifurushi wanakupangia muda wa kutumia.

Mfano hapa nimeshajiunga sms za shs1500 kwa Airtel sms 9000. Shida mpaka napangiwa sms za kutuma kwa siku hivi kweli hii ni uungwana ama wao wanaangalia matumbo Yao. Huku wakifanya watanzania kuwa masikini jamani.

Mbona huwa nikinunua sukari dukani sipangiwi siku za kuitumia na kila siku ni kiasi gani nitumie.

Mbona kanuni ya biashara iko wazi ama tayari maji ya bendera wamekunya.
hamia tigo au voda labda hawana hizo mambo
 
Back
Top Bottom