TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
 
Kama hilo neno TCRA waliandikiwa?
ID yako tu imetosha Kunithibitishia kuwa Uhalisia wako ndiyo huo huo kwani hata neno lao tu lenyewe la TCRA ni la Kizungu vile vile. Hopeless!!!!
 
[emoji124][emoji124]
kobe_yn.fanchef_20200612_3.jpg
 
TCRA ni neno my God hivi shule ulisoma ujinga .bavicha mnafeli wapi

Wenye Akili Kuliko nilipoliwasilisha kwa kusema ni neno nikimaanisha ni Ufupisho wa Tanzania Communication Regulatory Authority wameelewa.
 
Nini maana ya mother facker?

Naomba tuanzie hapo

Kamuulize aliyekubebea Mimba yako Miezi Kenda ya Kukuleta hapa Ulimwenguni atakuwa na Jawabu Mujarab kabisa la Kukujibu na zuri kuliko.
 
Njaa mbaya sana.huwa inaleta ukuda

Ningeshangaa kama Wapumbavu na Wanafiki wa mfano wako wasingejitokeza na kuja Kunishambulia, Kunidhihaki na Kunitukana kwa kila namna.
 
Back
Top Bottom